Strong Durable
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 474
- 700
Hapo Wana Dili na Vichwa vikubwa vikubwa Tuu Hao Maamuma Wana achwaa kama walivyoHiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213
Unajifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali na uchungu mkuu. Na bado. Si unaona hadi Allah kala kona kakimbia.Mkuu sio kwamba nchi zingine zinashindwa kuwalenga viongozi wa juu wa nchi zingine ama nchi ya kigaidi kama Israel bali wanafanya maamuzi kwa utu ndiyo maana utakuta wanapiga maeneo muhimu ya miundombinu ya kijeshi hawagusi hata nzi.
Usidhani wakianza kuwinda kichwa cha Netanyahu watashindwa lahasha!
Sana sana atakuwa anafanyia kazi zake za uwaziri mkuu kwenye mahandaki na Waisraeli walivyo waoga wa kufa hatoonekana hadharani.
Basi msilie lie watoto na wanawake wanauwawaHamas ndio palestina? Vuguvugu la kudai uhuru haliwezi kuishia kwa Hamas wote kufa nachojua recruitment ya Hamas ipo juu kuliko hata kabla ya vita. Yaani katika wapalestina million 13 kote duniani zaidi ya 80% ni sympathisers wa Hamas so haiwezi kufa leo wala kesho unless waue wa palestina wote.
Kaka angu JK alikuwa auwawe juzi? Hii km familia nakusikia wewe ujue RafikiAsh typing error almanudura wamuue Jana usiku
Mkiua hamas umewahi ona tunalialia? Why muue watoto na wamama wasiohusika!! Mnajisifia humu kuwa mna intellijensia kubwa sana kivipi mateka zaidi ya 120 mmeshindwa kuwapata?Basi msilie lie watoto na wanawake wanauwawa
Mkuu hii mbona mpaka "Nabii" Uebert Angel "alitabiri" just two weeks ago. I doubt "alitabiri" ila alikua anatoa angalizo au specifically warningKaka angu JK alikuwa auwawe juzi? Hii km familia nakusikia wewe ujue Rafiki
Jk ni kaka angu wa damu ujue napokea taarifa za DRC kila baada ya siku ,hii ya JK kutaka kuuwawa ndio nakusikia
🤣🤣🤣 Manaake haupo up to dateKaka angu JK alikuwa auwawe juzi? Hii km familia nakusikia wewe ujue Rafiki
Jk ni kaka angu wa damu ujue napokea taarifa za DRC kila baada ya siku ,hii ya JK kutaka kuuwawa ndio nakusikia
Mkuu hii mbona mpaka "Nabii" Uebert Angel "alitabiri" just two weeks ago. I doubt "alitabiri" ila alikua anatoa angalizo au specifically warning
Hahahahaha,
Hahahahaha, mkuu hiyo sio mpya ,'Afande' yuko kamiliMkuu hii mbona mpaka "Nabii" Uebert Angel "alitabiri" just two weeks ago. I doubt "alitabiri" ila alikua anatoa angalizo au specifically warning
Lisemwalo lipo, yule anawindwa sana akijaa kwenye mfumo anapotezwa. Kwa madai ya huyo "nabii" ni inside job inafanyika.Hahahahaha, mkuu hiyo sio mpya ,'Afande' yuko kamili
Ni mpyaHahahahaha, mkuu hiyo sio mpya ,'Afande' yuko kamili
Ndivyo ilivyoLisemwalo lipo, yule anawindwa sana akijaa kwenye mfumo anapotezwa. Kwa madai ya huyo "nabii" ni inside job inafanyika.
Okay, ndio nakuambia 'Afande ' yuko kamiliNi mpya
Mi niliona siku anatoa hiyo habari after 10 days ikatikea
Na km umemsikia alim alert aondoke hapo kwake
Na taarifa zilimfikia kupitia ndugu!
Hivyo walipokwe sa walimkosa ,Kuna mahali Yuko km alivyoelekezwa
Kuwindwa hiyo inajulikana sana ila yuko kamiliLisemwalo lipo, yule anawindwa sana akijaa kwenye mfumo anapotezwa. Kwa madai ya huyo "nabii" ni inside job inafanyika.
Sijasema hayuko sawaOkay, ndio nakuambia 'Afande ' yuko kamili
Nimekuelewa, MtumishiSijasema hayuko sawa
Ila kaponea chupuchupu
Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213