DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
na wao wasiilete huku ikazidi.tulitonayo inatosha.
Nyie kwenu corona Imejaa mpaka inamwagika..mmeshazoea kuishi kama digidigi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wao wasiilete huku ikazidi.tulitonayo inatosha.
imagine,corona imekuwa member of a society,halafu nyie wengine mnataka kutisha watu.Nyie kwenu corona Imejaa mpaka inamwagika..mmeshazoea kuishi kama digidigi.
imagine,corona imekuwa member of a society,halafu nyie wengine mnataka kutisha watu.
Mkuu na wewe upo kwenya pay list ya chama, pole kwa njaa ila chunga usijefia ugali wako.nyie nyumbu tulieni,haya mambo ni makubwa kidogo kwenu.
kanyweni alkasus mlale.
kwani wewe uliitaka hiyo nafasi ya kulipwa na chama ukaikosa!!!!Mkuu na wewe upo kwenya pay list ya chama, pole kwa njaa ila chunga usijefia ugali wako.
corona inachagua mhanga haichaguliwi.Kwa Tz ndo itakuwa member of a society lakini not Kenya
Sihitaji kuuwa watz kwa kuwasifia viongozi wanaofanya makosa yanayopelekea watanzania kupoteza maisha yao. Mjue nyie mnayo ya kujibu mbele za Mwenyezi Mungu.kwani wewe uliitaka hiyo nafasi ya kulipwa na chama ukaikosa!!!!
corona inachagua mhanga haichaguliwi.
kule us imangusha watu 90 elfu mpaka sasa,usifosi ikaue hivyo tz.kwahiyo hata kule kenya ni corona ndio itaamua iwagaragaze kiasi gani sio mapenzi yenu.
kwani jana na leo wamekufa wabunge na ma DC wangapi hapa tz??Kwani Kenya imeshafiwa na wabunge watatu ndani ya siku 10 na madc 2 + maji wote corona imewala.
kuliko wabunge wa cdm wanaopotosha watu huku wakijua kabisa lengo lao sio wanalozungumza??Sihitaji kuuwa watz kwa kuwasifia viongozi wanaofanya makosa yanayopelekea watanzania kupoteza maisha yao. Mjue nyie mnayo ya kujibu mbele za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya kumuomba magufuli,jifunze wews kwanza lugha adhim ya kiswahiliMagufuli namuomba ajifunze kingereza hili na yeye afike ulaya.
Kiswahili mbofumbofuMagufuli namuomba ajifunze kingereza hili na yeye afike ulaya.
Achana na hao wapuuzi. Wamewapimia wapi hao madereva?Mkuu wa mkoa ya Tanga ametangaza kufunga kuingia kwa magari makubwa kutoka kenya kupitia mipaka iliyopo kwenye mkoa wa Tanga kufuatia madereva 13 kutoka Kenya kukutwa na corona.
Je, takwimu hizi za corona ambazo kwa sasa zimesimamishwa kitaifa yeye amezipata wapi? Na pia kama takwimu za corona kwa madereva wa nchi jirani zinatolewa kwa haraka, nini kinakwamisha takwimu za ndani za maambukizi ya covid-19 kitaifa zisitolewe?