Hao Madreva 19 wa Kenya waliothibitika kuwa na Corona waliruhusiwa kuingia nchini?

Hao Madreva 19 wa Kenya waliothibitika kuwa na Corona waliruhusiwa kuingia nchini?

Nanukuu" Tumechoshwa Kupokea Wagonjwa Wa Corona Kutokea Mombasa Tunafunga mpaka'.

Wakati huu ambapo wiki ya 2 sasa kipimo hakifanyi kazi wanajuaje kwamba wale ni wagonjwa wa corona?

Halafu wakati huo huo bosi wake anasema wagonjwa wamepungua yeye wagonjwa anaowapima anawapeleka wapi?

Hii nchi ni ya kipumbavu sana.

Mkuu technically
una maslahi yoyote yale ya kibiashara au hata ya kijamii na nchi ya Kenya? Naona umeguswa sana huu mtafaruku wa muingiliano wa kibiashara kati ya Kenya na Tanzania kuliko hata ule wa Tanzania vs Zambia na Tanzania vs Rwanda.

Kuwa na subira! Diplomasia itafanya kazi yake.
 
Nanukuu" Tumechoshwa Kupokea Wagonjwa Wa Corona Kutokea Mombasa Tunafunga mpaka'.

Wakati huu ambapo wiki ya 2 sasa kipimo hakifanyi kazi wanajuaje kwamba wale ni wagonjwa wa corona?

Halafu wakati huo huo bosi wake anasema wagonjwa wamepungua yeye wagonjwa anaowapima anawapeleka wapi?

Hii nchi ni ya kipumbavu sana.
Hivi ww ni Mkenya au Mtanzania mamluki?
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana kuhusu maabara ya taifa. Taarifa kwa umma iliyotolewa na wizara ya afya iliweka bayana kwamba uchunguzi unaendelea lakini vipimo vitachukuliwa kama ilivyokua hapo mwanzo, sikuona popote wakisema wanasitisha kufanya vipimo.

Tukiweza kuweka hisia na mihemko pembeni itatusaidia sana ksma tsifa na hata kwenye mambo yetu binafsi.
Rais aliquestion credibility ya vipimo, unadhan nan atakayeviamin hivyo vipimo ni swala la kujiongeza tu
 
Rais aliquestion credibility ya vipimo, unadhan nan atakayeviamin hivyo vipimo ni swala la kujiongeza tu

Rais kutilia shaka hakusema visitumike, aliagiza uchunguzi ufanyike.

Kuna mahali alisema anaifunga maabara au kusitisha zoezi la upimaji?

Ukijiongeza kupita taarifa ya wizara husika unaweza kupotea.
 
Back
Top Bottom