Nanukuu" Tumechoshwa Kupokea Wagonjwa Wa Corona Kutokea Mombasa Tunafunga mpaka'.
Wakati huu ambapo wiki ya 2 sasa kipimo hakifanyi kazi wanajuaje kwamba wale ni wagonjwa wa corona?
Halafu wakati huo huo bosi wake anasema wagonjwa wamepungua yeye wagonjwa anaowapima anawapeleka wapi?
Hii nchi ni ya kipumbavu sana.
Hivi ww ni Mkenya au Mtanzania mamluki?Nanukuu" Tumechoshwa Kupokea Wagonjwa Wa Corona Kutokea Mombasa Tunafunga mpaka'.
Wakati huu ambapo wiki ya 2 sasa kipimo hakifanyi kazi wanajuaje kwamba wale ni wagonjwa wa corona?
Halafu wakati huo huo bosi wake anasema wagonjwa wamepungua yeye wagonjwa anaowapima anawapeleka wapi?
Hii nchi ni ya kipumbavu sana.
UmepanicHata hivo wewe shetani sio mtanzania
Rudi kwenu somalia
Tuachia Tanzania
Nchi sio yako, inakuwasha nini kunguni wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais aliquestion credibility ya vipimo, unadhan nan atakayeviamin hivyo vipimo ni swala la kujiongeza tuKuna upotoshaji mkubwa sana kuhusu maabara ya taifa. Taarifa kwa umma iliyotolewa na wizara ya afya iliweka bayana kwamba uchunguzi unaendelea lakini vipimo vitachukuliwa kama ilivyokua hapo mwanzo, sikuona popote wakisema wanasitisha kufanya vipimo.
Tukiweza kuweka hisia na mihemko pembeni itatusaidia sana ksma tsifa na hata kwenye mambo yetu binafsi.
Mtoa mada hana akili ya kujiuliza hayo, utamuonea tu.Ungeanza kwa kuuliza wakenya kwanini madereva wao wanaotoka TZ hawana corona ila madereva wote wa TZ wana corona.
Rais aliquestion credibility ya vipimo, unadhan nan atakayeviamin hivyo vipimo ni swala la kujiongeza tu
Wacha ife tu