Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

👍👍🤣🤣
 
Awesome 👍
 
Exquisite 👍
 
👍
 
🤣
 
Sahihi kabisa Mkuu.

Home is where the heart is,home is the feeling not a place.
 
Kwa hiyo matajiri hawaridhiki?!!

Kuridhika ndio utajiri mkubwa....
 
kule mbezi kwa zena kuna gari za kawaida kila aina bwana huyo asitutishe [emoji2][emoji2]
Sehemu ambapo kuna gari kali kali ni upanga tena ule mtaa wa Mindu kwenye Gorofa za minduplace nikiwa pale naenjoy sana.

Kwingine huku Toure Dr Masaki ukikaa hapa Cliffside Residence unaona Kwanzia gari kali/Sea Cliff Sea view safi kabisa
 
👍👍🤣🤣
We acha tu nilijifkiria sana,maana nikaona yaani madeni huko benki,kodi, hawa jamaa wako zao wanakula bata kivyao.
Bangi linavutwa kama fegi hamna polisi kule alafu wana kakibanda kana nyanya 2-3 tudagaa kidogo,vimafuta vya kula wamekaandika supermarket😂😂😂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…