Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Hivi unajua Bongo kuna baadhi ya watu (hususan hao unaosema wanaishi kama ulaya), lakini ukweli ni kwamba wanaishi zaidi ya watu majority waliopo huko ulaya.... Hata kama upo Ulaya na una pesa za kutosha Ukija Bongo utaishi kwa raha / matanuzi zaidi kuliko ukiwa huko ulaya...

Kweli mkuu
 
Khaa! Nilipita Mbagala nikaona nyumba zilivyobanana, ikabidi nitafute pesa nianze kuwanunua majirani zangu 'woote' wanaonizunguka kupunguza uswazi ili angalau wasi disturb upepo.
Unajua unaweza jenga kwa taabu ile tu unahamia, mara jirani anaanza kufuga ng'ombe, mbuzi, kitimoto, kuku nk, mpaka unajikuta unaichukia nyumba uliyoijenga kwa taabu nyingi na kwa kujinyima sana.
 
Hahaha uliza wewe mkuu..hahaha hua nacheka sana aisee ukikutana na waliokata tamaa ya maisha au walioamua kua maskini ukikuta wanachoongea unaweza kuaga haraka na kuondoka kwa kasi, mtu anachamba na makaratasi anasema ameridhika na maisha, mtu mtoto wake kafa sababu alikosa shilingi elfu 10 ya kununua dawa anasema karidhika na maisha ya kifukara kwamba anashukuru kwa kila jambo, na ukikuta ni wamekaa kinyonge na nyimbo ni za dini za kulilia mateso shida, majonzi, machozi, n.k

Kaka acha kutusema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu.

Mimi ninavyosema hivyo nimekaa Oysterbay, na hao viongozi, na kulikuwa hakuna Fire Brigade services.

Labda kama wameleta miaka hii ya karibuni. Kwa sababu nimeondoka kitambo.
Kiranga wa ushuani Oysterbay to U.S, hongera sn mkuu
 
Oysterbay, Masaki, Ada Estate, Upanga, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi beach, Malindi Estate (Mbweni), Bunju beach, Kigamboni mtaongezea iliyobaki
 
Nipo mitaa ya osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pemben yang naona mjengo wa makamu wa rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kwel nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengin tunaish tu dunian ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Happy kabla ya shule ya msingi bongoyo ndio afisi za tiss nimekatiza hapo kwenye Hilo getting nikiongea na simu wameni cheki balaa
 
Nipo mitaa ya osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pemben yang naona mjengo wa makamu wa rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kwel nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengin tunaish tu dunian ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Picha?
 
Nipo mitaa ya osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pemben yang naona mjengo wa makamu wa rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kwel nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengin tunaish tu dunian ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA

Makonda ni nyumba yake hiyo ya OBAY au ya serikali? Si nasikia anakaa Kigamboni?
 
Back
Top Bottom