Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ulitoa hongo wewe si bure, hawawezi kukufanyia kirahisi rahisi hivyo.Kwa nyumba sijui ipoje ila kwa kiwanja afadhali
Mi nilijipatia kiwanja kwa namna hiyo
Kilikuwa ubavuni kwangu na mwenyewe hakuwahi kuonekana
Nikaenda ardhi nikawaeleza wakaniambia kasafishe kwanza ukiona kimya weka msingi tulia
Nilifanya hivyo na hakutokea mtu lakini palikuwa ma tofali 12 pale chini
Baada ya mwaka nikaenda ardhi nikawaeleza wakanipa offer/hati na hadi leo napamiliki
Mnamtisha nae aende na roho wa Mungu atafanikishaHizi nyumba zione hivi! Hakuna kitu kinachotengenezwa kwa hela ndefu mpaka kukamilika kama nyumba! Ubora na mwonekano wa nyumba na mahali ilipo ndo thamani ya hela iliyotumika kuijenga.
Kwasababu hiyo nyumba haiwezi kukaa tupu! Kama sio watu wanaishi, basi ziko roho zinaishi mule! Mashetani nayo yanataka kuishi kwenye nyumba nzuri! Roho iliyokuwa nyuma ya upatikanaji wa hela na ujenzi wa hiyo nyumba ndo zinaishi mule! Jichanganye uingie uone mziki wake!
Mkuu kwa kuwa sasa ishakuwa mkubwa nakushauri jitwalie hiyo nyumba na kiwanja chakeKuna nyumba moja ilikua kando ya barabara mitaa fulani ambayo tulikua tukipita tukiwa wadogo. Kipindi hicho hiyo nyumba ilikua ina milango, madirisha ya vioo na kila kitu kama vile kuna watu wanaishi humo, ila hakukua na mtu. Sisi tulikua tukiambiwa nyumba hiyo ina majini, na enzi hizo tulikua tukipita hiyo njia tunarusha mawe juu ya bati na kukimbia!
Juzi nimepita hiyo mitaa, nikakuta ile nyumba imechakaa kabisa, nyasi ndefu zimeota, bati zimeezuliwa, vioo na madirisha yamevunjikavunjika, hakuna milango yaani zimebaki kuta tu zimesimama.. Kwakweli mpaka leo sijajua hii nyumba ilikua ya nani?
mmh tupe ubuyu bhana ata na id fake kama masai dada , sasa ilikuwaje the bold akamwaga manyanga kwa cheupe wake toto laini Nifah na sasa hivi nani anamiliki jimbo au lipo wazi?Endelea kubaki hivyohivyo kizani hadi niseme mwenyewe, kwa sasa tengenezeni tu script zenu.
Napenda sana mnavyoteseka 😂😂🤣
ndiyoNa ukamuamini na kuenenda nalo nchi za ng'ambo?
Ungeanza kwa kuuliza kistaarabu ningekujibu vizuri tu, ila kwakuwa ulishavuruga subiri mpaka niwawekee bonge la thread mtajua yote.mmh tupe ubuyu bhana ata na id fake kama masai dada , sasa ilikuwaje the bold akamwaga manyanga kwa cheupe wake toto laini Nifah na sasa hivi nani anamiliki jimbo au lipo wazi?
Maeneo ya Mabwepande, Bunju mpk Bagamoyo huko unauziwa kiwanja halafu ukihurumiwa sana unarogwa kabla ya kujenga. Wakitaka kukukomoa unarogwa baada ya kuwa umejenga.Nyumba za namna hiyo mbona nyingi njia ya kutoka mbezi kwenda mmabwepande mpaka bunju
Niiliwahi kupelekwa kununua kiwanja arround mabwepande ila alokuwa anataka kuniuzia kiwanja akaanza na maneno hichi kiwanja changu niliuziwa na kina kaburi moja katikati lakinj pia huyu jirani yangu tangu ajenge hiki hekalu kubwa hapa hakuwahi kukanyaga tena humu
Anasisitiza, chungulia majani yalivyoota kwenye paving blocks
Niliahirisha kila kitu kwa kumkubalia kila asemacho
Nilitoka hapo hata namba zake niliblock
Hayo majumba ya mbweni huku uswahilini kwetu tunajidanganya kwamba ni ya TISS. Eti wanaoikosoa serikali wakitekwa ndiyo hupelekwa humo kuteswa mpk kufa.Naona ka waongelea majumba ya mbweni dar es salaam
mie nilikuwa nachangamsha genge tuu,Hongera mwayaa basi mtoto wa mama mkwee ndo afanye kuoa sasa tena nyie muslim lakini mpaka leo bado mpo kwenye uchumba suguUngeanza kwa kuuliza kistaarabu ningekujibu vizuri tu, ila kwakuwa ulishavuruga subiri mpaka niwawekee bonge la thread mtajua yote.
Ila, mpira umerudi kwa kipa na kipa hana masihara kaamua kulinda goli lake hafanyi kosa tena.
Squatting?Ipo siku wenye nyumba watakuja tu, usiingie hovyo waweza kupata kesi ya trespassing.
Kuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Hakikisha Una Kadi ya ChamaKuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Sio wazee wa kibongo wanaopenda K za mabaamediNgoja niwape kisa kimoja
Kuna jamaa zangu Mzee wao alifariki akawa amewaachia nyumba za urithi, sasa baada ya miaka mingi kupita Kuna nyumba walikua wanaiuza. Katika kupekua mafaili wakampa mnunuzi document ili ajiridhishe. Yule mnunuzi kaenda ardhi anakuta ile document ni ya nyumba nyingine kabisa tofauti na ile aliyopanga kununua
Akajulisha jamaa wakamtaftia document sahihi wakafanya biashara. Sasa jamaa wakaanza kujiuliza hii document ya mara ya kwanza ni ya wapi mbona hii nyumba hatuijui. Wakafatilia kushirikiana na ardhi mpaka kwenye Hio nyumba, wakamkuta Mzee mmoja anaishi hapo baada ya kumhoji Mzee akadai alipewa Hio nyumba Aishi na Mzee mmoja ila ana miaka mingi hawajawasiliana na hajui hata yupo wapi.
Jamaa wakawa wamepata nyumba nyingine kilaini kabisa na hakuna aliyekua anaijua.
Lakini jamaa mzigo si kala sana tu?Ungeanza kwa kuuliza kistaarabu ningekujibu vizuri tu, ila kwakuwa ulishavuruga subiri mpaka niwawekee bonge la thread mtajua yote.
Ila, mpira umerudi kwa kipa na kipa hana masihara kaamua kulinda goli lake hafanyi kosa tena.
Yule mwanaume aliyekutia mimba akakukimbia vp mmesharudiana nae.?Kuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".