Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Mkuu,

Fanya uokote tu hiyo nyumba, mbona hata Mzee Magu naye aliwahi kuokota ambulance pamoja na vichwa cha treni pale bandarini.

Bahati haiji mara mbili, fanya maamuzi usije ukajuta pale mwingine akaja kuokota.
 

Ina maana wameshindwa hata kuzipangisha
 
Dah Watu wanadhulumiwa Sana..
 
Dah Watu wanadhulumiwa Sana..
Kuna mahali nilienda kuangalia shamba. Sasa unakuta kichaka ukiuliza hapa vipi, unaambiwa pameuzwa. Sasa najiuliza hawa watu wakipokonywa watalalamika?

Kumiliki ardhi bila kufanya chochote ni makosa sana. Jitahidi hata upande miti ambayo haihitaji uangalizi
 
Ila muhimu kama shamba likatie Rizi tulia zako nyumbni watakuja wakitaka kumega we unawaacha tu
 
Ndugu tambua marehemu huwa hadhurumiwi. Huyo rafiki yako anawazazi. Handover hiyo nyumba kwa wazazi ili ujitoe kwenye kalma. Kuna siku huyo marehemu rafiki yako atakuja kukuuliza kuhusu mali zake. Kuikamilisha bado hakukupi justification ya kuwa owner under that circumstance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…