Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Wewe kaa usubiri ifike miaka kumi na mbili halafu ujitwalie, akija unamuambia kua ni yakwako kwasababu muda wote huo hakujitokeza, under adverse possesion unaweza kuimiliki kama miaka kumi na mbili imepita na umekua ukiishi hapo bila ya mwenye eneo kuja kulidai.
 
Hao aridhi ni wa Wapi Wakristo hivyo.?
 
Mzee chukua tu hiyo nyumbaa mambo mengine yatajiset yenyewee..ila nakupa tahadhari usiingie hiyo nyumba kindezi ndezi nyumba ikikaa mda mrefu wadudu wabaya huishi..mzee wangu alijenga nyumba visiwani mafia bahati mbaya hatukuwahi ikaa kwa mda mrefu...kuna mda watu wakaja kuomba wakaishi mle ndanii kilichotokea hawakumaliza week wakaikimbia nyumba walikuwa wanachapwa bakora hatariii na watu wasioonekana.ikabidi twende kufanya dua...mpaka sasa nyumba kuna watu wanaishi...pia nilishawahi okota kadi ya gari og kabisa so niliokota gari[emoji16][emoji16][emoji16] kuna uzi niliuleta humu mwenye vile vitu nilimpata.
 
Nyumba nying kama hzo huwa n kwa ajil ya kufugia majin au Misukule.
Sasa chukua ww ukaone kasheshe Ucku.
 
Kwa wanawake hawa wa leo hii hata mimi nikijipata siwezi kumuonesha mali zangu zote. Ataijua nyumba tunayoishi labda na kazini tu. Lakini lazima nifanye utaratibu angalao ndugu mmoja ninaemuamini ajue
 
bongo tunapenda ganda la ndizi.kwahyo unataka utelezee hadi mjengo,we ingia tu unaeza kuta ni the magic house ukatolewa sadaka kikatili mno
 
Mkuu wapi uko na mimi nijimliikishe iyo moja nyingine.
 
Wanwake saiv sio wadangaji tu wamekua mataperi pia
 
Kama unaogopa vitisho unavyopewa na wadau humu ndani, nielekeze mimi iyo nyumba iko wapi nifanye jambo
 
Baba ako ni mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…