Hapa lazima Marioo kaona utupu wa mkwe

Hapa lazima Marioo kaona utupu wa mkwe

Waacheni watu waishi wapendavyo
Dunia hawajaiumba wao siyo ya kwao, wakatengeneze ya kwao ndiyo waishi wapendavyo. Uhuni. Uhayawani na ushenzi ukizidi matokeo yake siasa kali zitaibuka mwisho mnyimwe uhuru kama Afghanistan, Iran. Saudi Arabia nk nk mmezidi sasa mmevuka mipaka mavazi ya nusu uchi telee, uhuru mnautumia vibaya.
 
Neno mkwe(mother in law) mchumba (fiancee)shemeji (brother/sister in law) yanatumiwa vibaya(abused) huwezi kumuhonga kahaba prostitute anayedanga halafu unamuita mchumba! Na mama wa kahaba unamuita mkwe, taasisi ya ndoa iheshimiwe na watu wote, siyo kila mahusiano yapewe hadhi sawa na ndoa hadi kuitana, mkwe, shemeji,mchumba etc etc mengi ni biashara tu ya ukahaba na zinaa tu.
 
Neno mkwe(mother in law) mchumba (fiancee)shemeji (brother/sister in law) yanatumiwa vibaya(abused) huwezi kumuhonga kahaba prostitute anayedanga halafu unamuita mchumba! Na mama wa kahaba unamuita mkwe, taasisi ya ndoa iheshimiwe na watu wote, siyo kila mahusiano yapewe hadhi sawa na ndoa hadi kuitana, mkwe, shemeji,mchumba etc etc mengi ni biashara tu ya ukahaba na zinaa tu.
[emoji120]asant mkuu kwa kutuweka sawa kidgo
 
Dunia hawajaiumba wao siyo ya kwao, wakatengeneze ya kwao ndiyo waishi wapendavyo. Uhuni. Uhayawani na ushenzi ukizidi matokeo yake siasa kali zitaibuka mwisho mnyimwe uhuru kama Afghanistan, Iran. Saudi Arabia nk nk mmezidi sasa mmevuka mipaka mavazi ya nusu uchi telee, uhuru mnautumia vibaya.
Kabx mkuu naunga mkono[emoji1666]
 
Dunia hawajaiumba wao siyo ya kwao, wakatengeneze ya kwao ndiyo waishi wapendavyo. Uhuni. Uhayawani na ushenzi ukizidi matokeo yake siasa kali zitaibuka mwisho mnyimwe uhuru kama Afghanistan, Iran. Saudi Arabia nk nk mmezidi sasa mmevuka mipaka mavazi ya nusu uchi telee, uhuru mnautumia vibaya.
Wewe ukitaka tembea na bikini hakuna atakae kuuliza
 
hamia Taliban kama unakwazika!

Dada, mke au watoto wako wakiona hii comments watastaajabu sana na kama tabia zao za ajabu ajabu maana yake watachekelea at end of the day watakudharau na kukuona huna msimamo wala si mwanaume haswaa, jitathmini upya!
 
Dada, mke au watoto wako wakiona hii comments watastaajabu sana na kama tabia zao za ajabu ajabu maana yake watachekelea at end of the day watakudharau na kukuona huna msimamo wala si mwanaume haswaa, jitathmini upya!
Acha kuteseka na vitu vya kawaida arifu this is Afrika huko Kwa Zulu Natal warembo wanadunda
Nyonyo nje achana na Bush Man WA Kalahari na hadzabe wa bongo land
Miaka ya mwanzoni tu hapo 1960's watu walidunda na kaniki ,
Leo Hao kina Kajalas & CO ambao ni mental case kushow vyupi tu
Unataka tuishi kama Talibani?

Namna gani bwana Ostadh!
 
Hivi Marioo na Paula mwenyewe hujiskiaje wanapokuwa wakiona utupu wa mzazi (mkwe)?

[emoji116]Hii ni picha mpya aliyochapisha muigizaji Kajala Masanja au mama mzazi wa Paula,Nadhani ifike muda watu hususani maarufu wafikiri kuhusu maisha ya kesho na vizazi vijavyo+teknolojia.

Upakiaji wa picha au picha mjongeo zenye maudhui dharimu zaweza kuathiri watoto wetu,ndugu na jamaa kama hatutazingatia maudhui sahihi ya kuchapisha.

Mfano,Crish mtoto wa Irene Uwoya na watoto wa Tessy,Lulu Diva,Umberruty nk.Wanajiskiaje wanapoona tupu zao tena wakiingiliwa mtandaoni?View attachment 2693351
Biashara matangazo. Utupu ni vile vitobo vyenyewe. Hiyo minyama ya nyuma sio utupu.
 
Huyo mzazi kazi yake ni nini ?

Sio mtu anakuwa model anatangaza Lingerie unataka avae baibui !!!!

To each their own....

View attachment 2693373

Hata leo hapa wakija watu wa Imani nitawapinga kwa kuwauliza kwenye maandiko yao kama Adam; Hawa; Eva; Chausiku (no matter you wanna call them kama walivaa nguo)

By the way nguo zingekuwa part ya binadamu basi binadamu wangezaliwa na suti / shuka
Sasa si utembee uchi tu
 
Sasa si utembee uchi tu
Kwanini ? Hio sio kawaida kwa maisha ya sasa na tamaduni za sasa ila usije kuniambia kwamba maadili ya Muafrika au sijui Dini ndio zinakataza au kwamba sasa hivi watu wamepotea wakati Bibi na Babu zako wangemuona huyu wangesema ni over-dressed....

To each his/her own..., na lazima uone huyo kazi yake na amevaa hivyo akiwa wapi..., by the way na huyo ametembea mtaani akiwa hivyo ?
 
Hizi shape kama milima ya uluguru Yani haieleweki mara bonde mara mlima , unapohisi ni tambarare unaona shimo sehemu ya shimo unakuta ufa Yani wowowo ina sura ya nchi🤔
 
Wewe ukitaka tembea na bikini hakuna atakae kuuliza
Sisi tutakuuliza. Dunia haina uhuru wa namna hiyo. Kama unabisha vaa ile bikini yako unayoipenda uliyokuja nayo Arumeru na ile uliyoiacha wazi jana hadi kusababisha mpate ajali ya bodaboda uone kama hatutakuvua. Jana ilikatika ndio maana mipaka ajali ya boda😄😆😂🤣😉😩
 
Hivi Marioo na Paula mwenyewe hujiskiaje wanapokuwa wakiona utupu wa mzazi (mkwe)?

[emoji116]Hii ni picha mpya aliyochapisha muigizaji Kajala Masanja au mama mzazi wa Paula,Nadhani ifike muda watu hususani maarufu wafikiri kuhusu maisha ya kesho na vizazi vijavyo+teknolojia.

Upakiaji wa picha au picha mjongeo zenye maudhui dharimu zaweza kuathiri watoto wetu,ndugu na jamaa kama hatutazingatia maudhui sahihi ya kuchapisha.

Mfano,Crish mtoto wa Irene Uwoya na watoto wa Tessy,Lulu Diva,Umberruty nk.Wanajiskiaje wanapoona tupu zao tena wakiingiliwa mtandaoni?View attachment 2693351


Sijaona utupu hapo, nimeona structure ya tako, na kila siku hizo structure mimi naziona barabarani, Hospital, Makanisani, labda msikitini tu ndo sijaona.
 
Back
Top Bottom