LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Wajumbe kama wanasikiliza maoni ya watu watuletee tundu lissu, mbowe kachokwa huku mtaaniMkuu hii iko wazi kabisa, yaani hao wajumbe watakuwa ni watu wajingaa sana wakimchagua tena mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti.
Nyakati hizi ni automatic zinamuhitaji lissu kuwa mwenyekiti.
...Ukweli utafahamika, mbowe kachokwa huku mtaani, vinginevyo October kazi ipoLISSU HAPA ATAJUA UMUHIMU WA MDOMO
Mtaa gani huo?Wajumbe kama wanasikiliza maoni ya watu watuletee tundu lissu, mbowe kachokwa huku mtaani
Mtaa gani ambao utampa kura lissu badala ya chadema?...Ukweli utafahamika, mbowe kachokwa huku mtaani, vinginevyo October kazi ipo
Kwa kutumia zoom?Dayaspora tumejiandaa kuharibu zoezi zima kama ni yeye asiposhinda🐼
Tunatumia Clubhouse 😃Kwa kutumia zoom?
Ccm umekuwa timu mboweMimi sio team Mbowe
Uliopo weweMtaa gani huo?
😂😂Jana Kuna kigogo mzito ccm anasema siku mbowe akishinda uwenyekiti chadema watakula kuku na kunywa na kukesha juu, Maana wanasema mbowe anazungumzikaLissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA.
Mbowe ni mzalendo.😂😂Jana Kuna kigogo mzito ccm anasema siku mbowe akishinda uwenyekiti chadema watakula kuku na kunywa na kukesha juu, Maana wanasema mbowe anazungumzika
Kwa ccm wanasema ni mzalendo kupitiliza, ndo maana ccm wamemshinda kwa 98% serikali za mitaaMbowe ni mzalendo.
Tulia wewe, huyu ni ccm damuHamlali Timu Mbowe
Safi mwenyekiti Mbowe adumuuuu!Mbowe kasema uchaguzi utakuwa live TV zote za duniani zinazotaka kuja zitaingia ukumbi wa uchaguzi
1. Wajumbe kuhakikiwa live
2. Kura kupigwa live
3. Matokeo kuhesabiwa live
4. Mshindi kutangazwa live
5. Mshindi kuhutubia live
6. Mshindwa kuhutubia live
Haya yote watashudia wanachama wa chadema wakiwa majumbani mwao.
TLS kupitia mwambukusi ataalikwa.
Mdude ataona live
Madeleka ataoana
Lissu alitegemea hayo mambo yatafanywa ukumbini bila nje ya ukumbi yaani dunia kushuhudia ili maria space, Dr slaa, na baadhi ya wanaoishi nje wawahadae wanachadema kwamba lissu kaibiwa kura ili apate support.
Lissu hataibiiwa kura 1, lkn asubiri kimbunga cha kumkataa kutoka wajumbe.
Kwanini wamkatae.
Akipewa chama atavuruga legacy ya kila kiongozi tofauti na Mbowe. Lini na wapi Mbowe kavuja legacy ya Mtei, Bob makani na wengine anapotoa hutuba zake?
Lssu kabla hajapata, anaitetea legacy pekee ya msigwa lkn zote anaonesha atazivuruga. Mbowe anamwita fisadi na hata Bob makani na mtei inaonekana atawasakama jambo litaivuruga kabisa chadema na kufurahisha cloud house
Kilichobaki lissu atakuja na hoja ya kwamba wapiga kura wamehongwa huko huko kabla ya ukumbini pesa za Abdullah jambo litakuwa halina nguvu mtu mwenye akili kuamini hilo. Na akiamua kuondoka ataondoka na team manager wake, akibaki chadema awe mwenyekiti wa Tawi lake anapoishi
Lissu hakubaliki kuwa mwenyekiti Chadema
Mbowe kasema uchaguzi utakuwa live TV zote za duniani zinazotaka kuja zitaingia ukumbi wa uchaguzi
1. Wajumbe kuhakikiwa live
2. Kura kupigwa live
3. Matokeo kuhesabiwa live
4. Mshindi kutangazwa live
5. Mshindi kuhutubia live
6. Mshindwa kuhutubia live
Haya yote watashudia wanachama wa chadema wakiwa majumbani mwao.
TLS kupitia mwambukusi ataalikwa.
Mdude ataona live
Madeleka ataoana
Lissu alitegemea hayo mambo yatafanywa ukumbini bila nje ya ukumbi yaani dunia kushuhudia ili maria space, Dr slaa, na baadhi ya wanaoishi nje wawahadae wanachadema kwamba lissu kaibiwa kura ili apate support.
Lissu hataibiiwa kura 1, lkn asubiri kimbunga cha kumkataa kutoka wajumbe.
Kwanini wamkatae.
Akipewa chama atavuruga legacy ya kila kiongozi tofauti na Mbowe. Lini na wapi Mbowe kavuja legacy ya Mtei, Bob makani na wengine anapotoa hutuba zake?
Lssu kabla hajapata, anaitetea legacy pekee ya msigwa lkn zote anaonesha atazivuruga. Mbowe anamwita fisadi na hata Bob makani na mtei inaonekana atawasakama jambo litaivuruga kabisa chadema na kufurahisha cloud house
Kilichobaki lissu atakuja na hoja ya kwamba wapiga kura wamehongwa huko huko kabla ya ukumbini pesa za Abdullah jambo litakuwa halina nguvu mtu mwenye akili kuamini hilo. Na akiamua kuondoka ataondoka na team manager wake, akibaki chadema awe mwenyekiti wa Tawi lake anapoishi
Lissu hakubaliki kuwa mwenyekiti Chadema
Jibu hoja acha vi hojaHamlali Timu Mbowe
Demo zege tena? Unataka atukane kama Lissu?