Hapa Mbowe Lissu umemuweza sana

Hapa Mbowe Lissu umemuweza sana

Mlivyo wajinga mnadhani akishindwa Lissu mnamkomoa nani, hivi kuna mjinga ataenda kupiga kura kwa chadema hiyo oktoba? Yaani mko tayari chama kife kisa Mbowe asalie? Hamna shida, tukutane oktoba
Kuna kijiwe kimoja jijini mbeya wadau walisikika wakisema wajumbe wakimrudisha mbowe October watajiju...wanasema miaka 20+ mtu yuleyule imetosha
 
Mkuu hii iko wazi kabisa, yaani hao wajumbe watakuwa ni watu wajingaa sana wakimchagua tena mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti.
Nyakati hizi ni automatic zinamuhitaji lissu kuwa mwenyekiti.
Wakituletea mbowe watapambana wenyewe October kumuuza
 
Mbowe kasema uchaguzi utakuwa live TV zote za duniani zinazotaka kuja zitaingia ukumbi wa uchaguzi
1. Wajumbe kuhakikiwa live
2. Kura kupigwa live
3. Matokeo kuhesabiwa live
4. Mshindi kutangazwa live
5. Mshindi kuhutubia live
6. Mshindwa kuhutubia live
Haya yote watashudia wanachama wa chadema wakiwa majumbani mwao.

TLS kupitia mwambukusi ataalikwa.
Mdude ataona live
Madeleka ataoana
Tunategemea Maria atakuwa online muda wote


Lissu alitegemea hayo mambo yatafanywa ukumbini bila nje ya ukumbi yaani dunia kushuhudia ili maria space, Dr slaa, na baadhi ya wanaoishi nje wawahadae wanachadema kwamba lissu kaibiwa kura ili apate support.
Lissu hataibiiwa kura 1, lkn asubiri kimbunga cha kumkataa kutoka wajumbe.
Kwanini wamkatae.
Akipewa chama atavuruga legacy ya kila kiongozi tofauti na Mbowe. Lini na wapi Mbowe kavuja legacy ya Mtei, Bob makani na wengine anapotoa hutuba zake?
Lssu kabla hajapata, anaitetea legacy pekee ya msigwa lkn zote anaonesha atazivuruga. Mbowe anamwita fisadi na hata Bob makani na mtei inaonekana atawasakama jambo litaivuruga kabisa chadema na kufurahisha cloud house

Kilichobaki lissu atakuja na hoja ya kwamba wapiga kura wamehongwa huko huko kabla ya ukumbini pesa za Abdullah jambo litakuwa halina nguvu mtu mwenye akili kuamini hilo. Na akiamua kuondoka ataondoka na team manager wake, akibaki chadema awe mwenyekiti wa Tawi lake anapoishi
Lissu hakubaliki kuwa mwenyekiti Chadema
Usiponipigia kura wakati umekula pesa yangu, jiandae na wasiojulikana.
Biti lilishapigwa kwa wajumbe.
 
Back
Top Bottom