Hapa Mbowe Lissu umemuweza sana

Inaonekana hujapevuka kwenye SIASA hujui ulimwengu wa UCHAGUZI unaendeshwaje AU umeamua kujizima DATA kwa lazima...
Mpaka muda huu UCHAGUZI umeshaisha tunasubiri MAIGIZO yaje yafanyike hiyo LIVE unayosema...
MBOWE si mjinga aje apoteze NGO ya UKOO LIVE kideoni, kwenye UCHAGUZI kuna watu wa MIHEMUKO na wenye AKILI..
 
Hio kwa mtazamo wako na mtazamo wa mwana ccm Dr slaa na msigwa
Mimi ni chadema kindakindaki hiyo ndio hali halisi mkuu,
Kama na ww umerambishwa asali mtaendelea kurambishana tu lakini chama kwisha habar yake
 
Malaria imepanda kichwani.

Shangaa CCM kumpigia kampeni Mbowe, Hii nchi kila mtu ni muhuni.
 
lEgacy ni muhimu sana sio
 
 
Wewe mgonjwa wa zika una upuuzi mwingi sana
 
kweli timu mbowe mumejipanga, lakin siasa ni mchezo wa hila, mambo yanaweza kugeuka in no time ukajikuta umdhaniae sie.
 
kweli timu mbowe mumejipanga, lakin siasa ni mchezo wa hila, mambo yanaweza kugeuka in no time ukajikuta umdhaniae sie.
Mbowe anakwenda kubadili siasa ya Bongo kwa kumkabidhi rungu Lisu hadharani

Hapo Sasa mperampera tunaenda kuanzia rasimi
 
Rushwa ipiganwe popote pale nje na hata nje ya chama
 
Ukweli wanajua wanaccm wenyewe, wao wanasema hata matokeo ya serikali za mitaa ni busara za mbowe zimesaidia, na hicho ndo kinatarajiwa October kwenye uchaguzi mkuu, muda utasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…