LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kuna kijiwe kimoja jijini mbeya wadau walisikika wakisema wajumbe wakimrudisha mbowe October watajiju...wanasema miaka 20+ mtu yuleyule imetoshaMlivyo wajinga mnadhani akishindwa Lissu mnamkomoa nani, hivi kuna mjinga ataenda kupiga kura kwa chadema hiyo oktoba? Yaani mko tayari chama kife kisa Mbowe asalie? Hamna shida, tukutane oktoba
..haahaa hayo majibu wekeni October tutajua.Sasa kama Mbowe kachokwa na watu kama wewe kuna shida gani? πππππ
Lisu anasema kabisa hajawahi kuwa mwenyekiti, hivyo hata asiposhinda hana tatizo. Tatizo lake ni kushindwa kwa mizengwe.Atakosa sababu ya kulalamika na kudanganya umma kwa kaipigiwa kura
Wakituletea mbowe watapambana wenyewe October kumuuzaMkuu hii iko wazi kabisa, yaani hao wajumbe watakuwa ni watu wajingaa sana wakimchagua tena mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti.
Nyakati hizi ni automatic zinamuhitaji lissu kuwa mwenyekiti.
...pole mkuuMtaa gani ambao utampa kura lissu badala ya chadema?
Team mbowe hoja hakuna, malalamiko tu...Team FAM 1: 3 TAL
Haahaa sawa chawa mkuuMbowe ni kama ziwa Victoria ambalo maji yake hata mkiyanywa dunia nzima hayaishi. π€£ Ukitaka na wewe kamua tu ruksa
πππKunguni wa Lissu?
Haahaa hivi ccm wanachagua viongozi?
Usiponipigia kura wakati umekula pesa yangu, jiandae na wasiojulikana.Mbowe kasema uchaguzi utakuwa live TV zote za duniani zinazotaka kuja zitaingia ukumbi wa uchaguzi
1. Wajumbe kuhakikiwa live
2. Kura kupigwa live
3. Matokeo kuhesabiwa live
4. Mshindi kutangazwa live
5. Mshindi kuhutubia live
6. Mshindwa kuhutubia live
Haya yote watashudia wanachama wa chadema wakiwa majumbani mwao.
TLS kupitia mwambukusi ataalikwa.
Mdude ataona live
Madeleka ataoana
Tunategemea Maria atakuwa online muda wote
Lissu alitegemea hayo mambo yatafanywa ukumbini bila nje ya ukumbi yaani dunia kushuhudia ili maria space, Dr slaa, na baadhi ya wanaoishi nje wawahadae wanachadema kwamba lissu kaibiwa kura ili apate support.
Lissu hataibiiwa kura 1, lkn asubiri kimbunga cha kumkataa kutoka wajumbe.
Kwanini wamkatae.
Akipewa chama atavuruga legacy ya kila kiongozi tofauti na Mbowe. Lini na wapi Mbowe kavuja legacy ya Mtei, Bob makani na wengine anapotoa hutuba zake?
Lssu kabla hajapata, anaitetea legacy pekee ya msigwa lkn zote anaonesha atazivuruga. Mbowe anamwita fisadi na hata Bob makani na mtei inaonekana atawasakama jambo litaivuruga kabisa chadema na kufurahisha cloud house
Kilichobaki lissu atakuja na hoja ya kwamba wapiga kura wamehongwa huko huko kabla ya ukumbini pesa za Abdullah jambo litakuwa halina nguvu mtu mwenye akili kuamini hilo. Na akiamua kuondoka ataondoka na team manager wake, akibaki chadema awe mwenyekiti wa Tawi lake anapoishi
Lissu hakubaliki kuwa mwenyekiti Chadema
Subutuuuu, wanapelekewa majina Tu halafu wanajifariji kupiga kuraHaahaa hivi ccm wanachagua viongozi?
Mbowe anakwenda kubadili siasa ya Bongo kwa kumkabidhi rungu Lisu hadharani
Hapo Sasa mperampera tunaenda kuanzia rasimi