Huyo si ndugu yako, why uumie kuachwa na stranger?, umeepushwa na mibalaa kibao, pls be happy😥😥Inauma sana ila nitajikaza, nimepitiwa heartbreaks nyingi na hili litapita tu
Kiaje kwamba niachane nae?Ndani ya miili yetu Kuna kazi nyingi Sana kuliko hizi ambazo miili yetu inafanya nje. Hata siku moja viungo vya ndani havijawahi kuomba ushauri na Mambo yanaenda fresh tu. Sasa we jichanganye kuomba ushauri wa mapenzi, acha mapenzi yaende yenyewe ili yakuue vizuri
OK bro kwa dunia ya leo ukimpata mwanamke mwenye upendo wa dhati mtunze sana sanaaHuyo si ndugu yako, why uumie, umeepushwa na mibalaa kibao, pls be happy
Sio udhaifu nataka ushauri yawezekana Miki ndie nazinguaSiskuhizi vijana tumekuwa dhaifu sana kwenye swala la mahusiano.
Hii sio ishu ya kuanzisha uzi, tayari jibu unalo.
Kwann uhangaike.
😀inauma? mwezio ame-move on na yuko happy😥😥Inauma sana ila nitajikaza, nimepitiwa heartbreaks nyingi na hili litapita tu
Unazingua ndio.Sio udhaifu nataka ushauri yawezekana Miki ndie nazingua
..jitoe ufahamu lakini with caution, hawako predictableOK bro kwa dunia ya leo ukimpata mwanamke mwenye upendo wa dhati mtunze sana sanaa
Hivi vitu vipo kiasili zaidi, hakuna mtu anayefundishwa kufanya mapenzi, ukiona mwalimu wa mapenzi Ni uongo.Kiaje kwamba niachane nae?
Nampenda ila hajawahi kufikiria kunitafuta mpaka mimi nianzeHivi vitu vipo kiasili zaidi, hakuna mtu anayefundishwa kufanya mapenzi, ukiona mwalimu wa mapenzi Ni uongo.
Muhimu isikilize akili yako inakwambia Nini.
Nakazia broh, acha nitafute mwingine yanini kulazimishana mapenzi kwa mmoja..jitoe ufahamu lakini with caution, hawako predictable
Kwanini nazingua? Au yeye ambae hanisemeshi ndio anazingua?Unazingua ndio.
Bro nilimpenda sana ingawa nakiri mwanzoni nilimtesa na alinililia vyakutosha😀inauma? mwezio ame-move on na yuko happy
Kwani kupenda inashauriwa tuanze na umri gani?Ndio shida ya kuanzia kupenda ukubwani
Miezi mingapi blazaMpe muda Trump atawafikia wanaompa kibri.