Hapa napendwa kweli?

Hapa napendwa kweli?

Captain Fire

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2023
Posts
2,435
Reaction score
5,000
Habari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,

Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,

Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
 
Kapteni Moto, hapo shtuka kabla hujaangukiwa na kitu kizito kichwani mkuu
Habari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,

Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,

Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
 
Kwan hukuhudhuria Kwenye kikao Cha mwisho mkuu,mbona hayo mambo mwenyekiti aliongea Kwa msisitizo sana kuhusu wanawakee
FB_IMG_1739216790299.jpg
 
Habari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,

Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,

Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
Ukitaka mapenzi yadumu, jishushe na kujionesha unajali.

Lakini kila mmoja akijiona hababaishwi na mwenzake, penzi hilo lazima life kifo cha kawaida cha mapema.

Mkilivunja penzi kipumbaf, huwa kuna madhara kisaikolojia kwenda kuanzisha penzi jipya.

Utaenda kufanywa mtumwa wa mapenzi ili kumuonesha 'dear x' wako kuwa umemove on na upo imara kimahusiano, ndipo yalipo madhara menyewe na huo ndiyo utumwa.
 
Back
Top Bottom