Hapa ndio Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma

Hapa ndio Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma

Yule tajiri Abdala Said wa pale Mwanga yupo.
Abdallah Said alishafariki miaka mingi iliyopita kwa sasa wamebaki watoto wake...
Wanamiliki hotel ya Zanzibar hilo kule mji mwema juu ya ukumbi wa Kibo peak kwa Marehem Mtei(Huyu ni mchaga aliyeishi Kigoma miaka mingi).
Akifanya Biashara zake.
Mkuu kama ulitoka miaka mingi kigoma basi rudi hata siku Mbili tatu ukajionee mabadiliko usikatishwe tamaa na wapuuzi humu.
 
Akili za kuambiwa changanya na zako,kuna watu humu wanauchafua mkoa wa Kigoma kwa chuki zao binafsi tu na kuwakatisha watu tamaa hata wasiende kutembea na kujionea mkoa wa Kigoma ulivyo.

Mimi ni mwenyeji wa Kigoma Mjini kabisa hivyo huwa nachukizwa na wapuuzi wachache wanaotuchafulia mkoa wetu kwa maneno ya kipumbavu yasio na ukweli wowote.

Kigoma kwa sasa imepiga hatua kubwa sana kwenye nyanja karibu zote, Elimu,Afya,miundombinu,Makazi,Biashara n.k ukilinganisha na zamani...ambapo tulitengwa na serikali kimaendeleo,Tumuombee mema bwana Kikwete kwa kuwa wakwanza kukumbuka kigoma na kutuweka kwenye ramani mpaka waliokuja baada yake kutupa kile alichokiandaa tukipate...maana tulikuwa mayatima tuliokosa faraja kutoka kwa walezi wetu.

Kwa mtu ambaye hajafika Mkoani Kigoma afike mwenyewe ajionee jinsi uasili wa mazingira ya Kigoma yalivyo naamini atapenda sana maisha ya mkoa huu yasiyokuwa na changamoto nyingi kwa mtu mwenye kipato cha wastani....mkoa huu ni sehemu nzuri ya kuishi kwa mtu yeyote yule aliyeamua kuishi hapa,binafsi nimeishi na wageni wengi kutoka mikoa mpaka nchi mbalimbali katika mkoa wa Kigoma tena miaka kumi nyuma na waliishi kwa furaha na amani tele wakiyafurahia maisha ya mkoa huu...japokuwa kwa sasa mkoa unaanza kufunguka kimaendeleo hii inatia moyo kwa wageni kukaribia hapa na kujionea yaliyomo yamo.

Kuna vitu ambavyo Kigoma vipo lakini kuna mikoa baadhi hakuna tena ni mjini kati kabisa...
Watu wa Kigoma ni watu wanaokwenda na wakati na ni wajanja....ukifika Kigoma usishangae kuona gari za kutembelea Jijini Dar au Mwanza ndio zinatumika kubeba abiria(Tax)..hii inaonyesha usiriasi wa watu wa Kigoma katika kufanya biashara zao,watu wanajituma kuwekeza katika kile wanachokifanya japo kuwa Mazingira yalikuwa hayaridhishi..

Wageni ni wengi sana Kigoma na wamehamia kabisa wanafanya harakati zao, wamejenga huwaambia kitu kuhusu Kigoma, ingekuwa ni sehemu mbaya kuna wachawi,Vumbi,wizi basi watu wasingetoka Moshi,Arusha,Dar,Morogoro,Mwanza,Dodoma,Mbeya,Mtwara,Zanzibar,Tanga wakaja kuishi Kigoma. Wanaongea kama wamekatwa vichwa waache mihemko isiyokuwa na tija....Kigoma ni mahali salama kwa yeyote kuishi na akapiga mishe zake kizawa kabisa.

Japokuwa huwezi kufananisha na majiji au miji mikubwa kutoka na naendelea kuchelewa lakini huku mambo yanaenda kama kawaida.
Biashara zipo(Kigoma-China),Mijengo mikali ya kishua ipo ya watu binafsi,Majengo ya serikali ndio machache ukilinganisha na mikoa mingine..
mjini kwetu hakunamajengo marefu ni Nyumba za NhC...serikali tufikirie kwa hili,sehemu za starehe zipo Beach kali,Hotel za maana,sijui Bar,Migahawa classic,Club zipo,vijana wadogo kumiliki pesa sijui magari wapo kama huko kwenu....karibu kila aina ya gari linalotoka Kigoma lipo watu wazito wapo...hivyo usipotoshwe au kupotosha wenzako.

Karibuni Kigoma mle samaki watamu,migebuka,Kuhe,Nononzi,Kavungwe,N.k,mafuta mazuri ya Mawese,mjifunike mashuka ya kufumwa,pia muone ukarimu na utu wa mkoa huu.
 
Akili za kuambiwa changanya na zako,kuna watu humu wanauchafua mkoa wa Kigoma kwa chuki zao binafsi tu na kuwakatisha watu tamaa hata wasiende kutembea na kujionea mkoa wa Kigoma ulivyo.

Mimi ni mwenyeji wa Kigoma Mjini kabisa hivyo huwa nachukizwa na wapuuzi wachache wanaotuchafulia mkoa wetu kwa maneno ya kipumbavu yasio na ukweli wowote.

Kigoma kwa sasa imepiga hatua kubwa sana kwenye nyanja karibu zote, Elimu,Afya,miundombinu,Makazi,Biashara n.k ukilinganisha na zamani...ambapo tulitengwa na serikali kimaendeleo,Tumuombee mema bwana Kikwete kwa kuwa wakwanza kukumbuka kigoma na kutuweka kwenye ramani mpaka waliokuja baada yake kutupa kile alichokiandaa tukipate...maana tulikuwa mayatima tuliokosa faraja kutoka kwa walezi wetu.

Kwa mtu ambaye hajafika Mkoani Kigoma afike mwenyewe ajionee jinsi uasili wa mazingira ya Kigoma yalivyo naamini atapenda sana maisha ya mkoa huu yasiyokuwa na changamoto nyingi kwa mtu mwenye kipato cha wastani....mkoa huu ni sehemu nzuri ya kuishi kwa mtu yeyote yule aliyeamua kuishi hapa,binafsi nimeishi na wageni wengi kutoka mikoa mpaka nchi mbalimbali katika mkoa wa Kigoma tena miaka kumi nyuma na waliishi kwa furaha na amani tele wakiyafurahia maisha ya mkoa huu...japokuwa kwa sasa mkoa unaanza kufunguka kimaendeleo hii inatia moyo kwa wageni kukaribia hapa na kujionea yaliyomo yamo.

Kuna vitu ambavyo Kigoma vipo lakini kuna mikoa baadhi hakuna tena ni mjini kati kabisa...
Watu wa Kigoma ni watu wanaokwenda na wakati na ni wajanja....ukifika Kigoma usishangae kuona gari za kutembelea Jijini Dar au Mwanza ndio zinatumika kubeba abiria(Tax)..hii inaonyesha usiriasi wa watu wa Kigoma katika kufanya biashara zao,watu wanajituma kuwekeza katika kile wanachokifanya japo kuwa Mazingira yalikuwa hayaridhishi..

Wageni ni wengi sana Kigoma na wamehamia kabisa wanafanya harakati zao na wamehamia kabisa wamejenga huwaambia kitu kuhusu Kigoma ingekuwa ni sehemu mbaya kuna wachawi,Vumbi,wizi basi watu wasingetoka Moshi,Arusha,Dar,Morogoro,Mwanza,Dodoma,Mbeya,Mtwara,Zanzibar,Tanga wakaja kuishi Kigoma wanaongea kama wamekatwa vichwa waache mihemko isiyokuwa na tija....Kigoma ni mahali salama kwa yeyote kuishi na akapiga mishe zake kizawa kabisa.

Japokuwa huwezi kufananisha na majiji au miji mikubwa kutoka na naendelea kuchelewa lakini huku mambo yanaenda kama kawaida Biashara zipo(Kigoma-China),Mijengo mikali ya kishua ipo ya watu binafsi,sehemu za starehe zipo Beach kali,Hotel za maana,sijui Bar,Migahawa classic,Club zipo,vijana wadogo kumiliki pesa sijui magari wapo kama huko kwenu....karibu kila aina ya gari linalotoka Kigoma lipo watu wazito wapo...hivyo usipotoshwe au kupotosha wenzako.

Karibuni Kigoma mle samaki watamu,mafuta mazuri ya Mawese,mjifunike mashuka ya kufumwa,pia muone ukarimu na utu wa mkoa huu.

Nyie watu wa kigoma mbona wachafu sana!fanya mkae mmalize tofauti yenu na maji kwanza ndio mtushauri tuje kutembea kigoma
 
Nyie watu wa kigoma mbona wachafu sana!fanya mkae mmalize tofauti yenu na maji kwanza ndio mtushauri tuje kutembea kigoma
Punguza kashfa.

Mikoa ya pembezoni imechelewa kwenye maendeleo ila siyo upaze sauti kipuuzi hivi.

Ni muda tu nao watatoboa ukizingatia Makamu katoka huko.
 
Punguza kashfa.

Mikoa ya pembezoni imechelewa kwenye maendeleo ila siyo upaze sauti kipuuzi hivi.

Ni muda tu nao watatoboa ukizingatia Makamu katoka huko.
Uko sahihi Mamndenyi.
Mfano, kwa Mkoa wa Kigoma, mwaka huu 2025 ndiyo tunategemea Barabara ya Lami ikamilike, kwa mara ya kwanza, tangu Dunia iumbwe.
 
Back
Top Bottom