Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 230
- 611
- Thread starter
- #81
Nani alifanya huo utafiti?Sasa unabishia tafiti!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alifanya huo utafiti?Sasa unabishia tafiti!!!
Hapana, kwasasa barabara nyingi zina lami kiongozi wanguVumbi jekundu!!
aisee huu mkoa wa hovyo sitafika daima.
Kwasababu picha zimepigwa majira ya asubuhiMbona pamezubaa hivyo?
Hapana kwakweli, hii bado sijaifuatilia nduguNasikia mnawafukuza na kuwaua Wasukuma huko Kasulu-Makere
Usisikilize maneno yake huyo, uchawi hakuna kwasasa, vitisho vya uchawi hakuna tenana hicho ndicho kinacho ifanya Kigoma kubaki nyuma kimaendeleo.
kama hawajabadilika na kuachana na imani/unguvu za giza watabaki nyuma hadi kiyama.
Taarifa ya habari ya Channel Ten ya Jana jioni, dahHapana kwakweli, hii bado sijaifuatilia ndugu
Ahsante sana, karibu sanaKigoma ukisikiliza story za kuambiwa huwezi tamani kukanyaga. Ila Kigoma iko tofauti na story zinazosemwa kuhusu huu mkoa. Kigoma ukisema uifananishe na majiji utakuwa unakosea.
Kwasasa huu mkoa umeanza kufunguka, Maendeleo yanaonekana.. barabara ziliichelewa huu mkoa. Ila barabara za kuingia huu mkoa sehemu kubwa kuna lami vimebaki vipande vidogo vya vumbi na ukipita unakuta wakandarasi wako barabarani.
Makere huko kuna vurugu za wafugaji na wakulima kama ilivyokuwa MorogoroTaarifa ya habari ya Channel Ten ya Jana jioni, dah
Hapana, kwasasa barabara nyingi zina lami nduguMbona hamna vumbi jekundu?
Maana jana tu picha ya kigoma ililetwa ni vumbi jekundu tu
HAPANA Aiseeee, ni Askari wanadai kuwa Wakulima wamevamia msitu (whether it's true or not) but kwanini wawaache wapande mazao halafu ndio saa hizi waje kuharibu? Hebu fuatilia vizuriMakere huko kuna vurugu za wafugaji na wakulima kama ilivyokuwa Morogoro
MtafitiNani alifanya huo utafiti?
hiyo ni Shoprite ya kienyeji...siyo ile international.....kuwekeza Kigoma labda uwe MwehuKumbe Kigoma hawajambo, Shoprite bado ipo! Watu wa Dar wShopalikuwa wakiiogopa mpaka ikafungwa.
Naww nenda kazuramimba au panda meli kibirizi nenda kivu maisha popoteNi kweli kabisa kama kuna mkoa ambao umevamiwa na wahamiaji haramu basi Kigoma inongoza.
Wakongo na waburundi wanaishi kigoma bila hata kuwa na vibali jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi na nchi kwa ujumla.
Ooh! Waha bado wanajifanya hawajui sheria!hiyo ni Shoprite ya kienyeji...siyo ile international.....kuwekeza Kigoma labda uwe Mwehu