Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NATAKA KUOA MUHA ,NITAFUTIE MWANAMKE WA KIHA
Umeongea Kama Ile Clip Ya Jiwe
Aliposema Nitafutie Mwanamke Bagamoyo!!
Wagholegole Watakupiga Tukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NATAKA KUOA MUHA ,NITAFUTIE MWANAMKE WA KIHA
na hicho ndicho kinacho ifanya Kigoma kubaki nyuma kimaendeleo.Naona kinachozunguka ni uchawi lkn hela bado sana.
Ndio, pesa inazunguka ikiwa utajishughulisha kwasababu huku kwetu maisha yako chini sana, kwa hivyo hakuna matumizi makubwa ya pesa kwasababu bei ya vyakula iko chini sana. Utakuwa na fursa ya kufanya biashara nchini Congo, Burundi na mwambao wa kusini kuelekea Zambia. Wakati wa uvuvi na mavuno unaweza kuleta nguo na viatu kutoka miji mingine na ukaja kuuza Kigoma Vijijini.Hela inazunguka huko?
Karibu Kigoma, ni kuzuri hata vijiji vyake vinavutia sanaPazuri🙏
Muha kama ana kilo 50 kilo 25 uchafu na kilo 25 nyengine ni uchawiNATAKA KUOA MUHA ,NITAFUTIE MWANAMKE WA KIHA
Kwasas Kigoma hakuna kasumba ya uchawi. Watu wengi wameelimika. Kuwa na amaniNaona kinachozunguka ni uchawi lkn hela bado sana.
Umbali kati ya Kigoma na Burundi ni karibu Km 228.5 Itakuchukua masaa manne kuingia Burundi kwa njia ya gari.Burundi kumbe kuko hivi
Mabinti wa huku ni wavumilivu, wachapakazi na wapole.NATAKA KUOA MUHA ,NITAFUTIE MWANAMKE WA KIHA
Karibu sanaKumbe Kigoma hawajambo, Shoprite bado ipo! Watu wa Dar walikuwa wakiiogopa mpaka ikafungwa.
Karibu sana nyumbaniChigoma hiyo
Kwasasa hakuna vumbi, karibu barabara zote zina lamiUkirudi utapauka na vumbi lile jekundu.
Ndio, barabara nyingi sasa zina lamiIla watu wabishi Tanzania. Hadi Kigoma kuna lami?
Migebuka biashara nzuri sana hapa Dar.Sijui hao waliokaushwa wanauzwaje hapo sokoni?Ndio, pesa inazunguka ikiwa utajishughulisha kwasababu huku kwetu maisha yako chini sana, kwa hivyo hakuna matumizi makubwa ya pesa kwasababu bei ya vyakula iko chini sana. Utakuwa na fursa ya kufanya biashara nchini Congo, Burundi na mwambao wa kusini kuelekea Zambia. Wakati wa uvuvi na mavuno unaweza kuleta nguo na viatu kutoka miji mingine na ukaja kuuza Kigoma Vijijini.
View attachment 2363885
Kwasasa ni Migebuka 5-6-7 kwa Tsh 2,000/= Kutegemea na ukubwa wa Migebuka.Migebuka biashara nzuri sana hapa Dar.Sijui hao waliokaushwa wanauzwaje hapo sokoni?
Kwenye uvumilivu waha hawana upinzaniMabinti wa huku ni wavumilivu, wachapakazi na wapole.
View attachment 2363913
Karibu ndugu, usisite kunitafuta nikupatie binti mzuri kwa ajili ya kuoa. Mwenye nidhamu na heshima
Thubutu!!!!Hela inazunguka huko?