Love Nuru
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 758
- 1,194
Yap. Zitto na huyu ni warundi waliochangamka.Niliwahi kusikia hadi VP wetu naye anatoka Burundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap. Zitto na huyu ni warundi waliochangamka.Niliwahi kusikia hadi VP wetu naye anatoka Burundi.
Endelea kupiga kampeni upate majiSasa unabishia tafiti!!!
Mkuu shukrani sana kwa ufafanuzi huu murua kabisa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sio kweli, kwasababu nyinyi mnachukua ukabila kana kwamba ndio utaifa. Waha sio Warundi wala Wamanyema sio wa Kongo. Wamanyema ni watu wa ujiji na kigoma mjini mkoani kigoma Tanzania ila wana asili ya Kongo
Mf. Wangoni watu wa Songea & Malawi ila wana asili ya Afrika ya kusini na Uswazi. Pia Wamasai wa Tanzania wana Asili ya Kenya, pia Wajaluo kabila la Tanzania pia wana asili ya Kenya. Hivyo ndivyo yalivyo na makabila ya Kigoma.
Leo Muha anaitwa Mrundi kisa tu ana ndugu Burundi, Leo Mmanyema anaitwa Mkongomani kisa tu ana ndugu Congo. hivi ni makabila mangapi yapo mpakani mwa Tanzania na wala hayabaguliwi kama haya ya kwetu Kigoma?
''Wadigo'' ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Tanga, pia wako Kenya wanapoishi upande wa Kusini wa mji wa Mombasa. Hawajawahi kusumbuliwa wala kuambiwa sio watanzania japokuwa wanazo familia huko Kenya.
''Wajaluo'' ni kabila hasa la Kenya. Wako pia Uganda ya mashariki na wachache wanaishi nchini Tanzania katika Mkoa wa Mara. Hawajawahi kusumbuliwa wala kuambiwa sio watanzania japokuwa wanazo familia huko Kenya.
''Wamasai'' ni kabila wazawa wa Afrika la watu wahamaji wanaopatikana Kenya na kaskazini mwa Tanzania. Hawajawahi kusumbuliwa wala kuambiwa sio watanzania japokuwa wanazo familia huko Kenya.
''Wamakonde'' ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mtwara. Pia wako Msumbiji. Lugha yao ni Kimakonde. Hawajawahi kusumbuliwa wala kuambiwa sio watanzania japokuwa wanazo familia huko Msumbiji.
''Wanyakyusa'' ni jina kwa ajili ya watu wanaoishi kwenye wilaya ya Rungwe katika sehemu za kusini za Mkoa wa Mbeya (Tanzania) upande wa kaskazini ya Ziwa Nyasa. Lugha yao ni Kinyakyusa pia hupatikana Malawi huhesabiwa pamoja nao katika kundi lilelile. Hawajawahi kusumbuliwa wala kuambiwa sio watanzania japokuwa wanazo familia huko Malawi. Ila sisi huku Kigoma ndio mnaendelea kutubagua. Dhambi ya Ubaguzi ni mbaya itawarejea siku moja
Unahisi hii mada ina justify kutokuwepo warundi na wakongo Kigoma? Unahisi hii mada ina justify uhalali wa wewe kupinga tafiti?Endelea kupiga kampeni upate maji
Shida ya maji ndani ya tozo Morogoro Mjini
Mamlaka husika i.e. Morowasa na mamlaka zenye mamlaka ya kuwawajibisha Morowasa tunaomba mtufikirie sisi wananchi Morogoro manisapaa, kata ya Kihonda-maghorafani. Ni wiki ya tatu sasa, maji hayajatoka katika mabomba yetu, kibaya zaidi hatujapewa taarifa yoyote kama kuna tatizo au ni uvivu tu...www.jamiiforums.com
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Jiji la KigomaMwanga Kaskazini ni jina la kata ya Manisipaa ya Kigoma Ujiji katika Mkoa wa Kigoma, Tanzania
View attachment 2363747
Mandhari katika Kata ya Mwanga Kaskazini, Kigoma-Ujiji
View attachment 2363752
Mini mart katika Kata ya Mwanga Kaskazini, Kigoma-Ujiji
View attachment 2363753
Shule ya msingi Katubuka, Mwanga Kaskazini, wilaya Kigoma Mjini, mkoa Kigoma, Tanzania,
Katubuka, Mwanga kaskazini
View attachment 2363788
Kata zingine za Manisipaa ya Kigoma Ujiji - hapa Mkoani Kigoma ni pamoja na Bangwe | Buhanda | Businde | Buzebazeba | Gungu | Kagera | Kasimbu | Kasingirima | Katubuka | Kibirizi | Kigoma Mjini | Kipampa | Kitongoji | Machinjioni | Majengo | Mwanga Kusini | Rubuga | Rusimbi.
Karibuni Kigoma
Karibuni Maghararibi mwa Tanzania
View attachment 2363764
Kazura Mimba kwa kina Mwijaku sijasikia mbonaMwanga Kaskazini ni jina la kata ya Manisipaa ya Kigoma Ujiji katika Mkoa wa Kigoma, Tanzania
View attachment 2363747
Mandhari katika Kata ya Mwanga Kaskazini, Kigoma-Ujiji
View attachment 2363752
Mini mart katika Kata ya Mwanga Kaskazini, Kigoma-Ujiji
View attachment 2363753
Shule ya msingi Katubuka, Mwanga Kaskazini, wilaya Kigoma Mjini, mkoa Kigoma, Tanzania,
Katubuka, Mwanga kaskazini
View attachment 2363788
Kata zingine za Manisipaa ya Kigoma Ujiji - hapa Mkoani Kigoma ni pamoja na Bangwe | Buhanda | Businde | Buzebazeba | Gungu | Kagera | Kasimbu | Kasingirima | Katubuka | Kibirizi | Kigoma Mjini | Kipampa | Kitongoji | Machinjioni | Majengo | Mwanga Kusini | Rubuga | Rusimbi.
Karibuni Kigoma
Karibuni Maghararibi mwa Tanzania
View attachment 2363764
Muha,kwani kuna kabila gani zaidi ya haoKutoka kabila gani na mwenye sifa zipi unahitaji?
😂😂😂 hutaki wamanyema weye!Muha,kwani kuna kabila gani zaidi ya hao
Wamanyema sitaki waswahili sana
Mmanyema na mzatamo hawana tofauti😂😂😂 hutaki wamanyema weye!
Halafu hao wamanyema ni wachache kuliko waha eeeh? Maana % kubwa ya watu wanaotoka kigoma ni waha, hao wengine nawasikia tu watu maarufu.Mmanyema na mzatamo hawana tofauti
kwanza huko ukishakuwa na hela tembeaga na bastola!Naona kinachozunguka ni uchawi lkn hela bado sana.
Loo! hao wakishakuona unakuja kununua samaki wanavua nguo wenyewe bila hata kuombwa!Mabinti wa huku ni wavumilivu, wachapakazi na wapole.
View attachment 2363913
Karibu ndugu, usisite kunitafuta nikupatie binti mzuri kwa ajili ya kuoa. Mwenye nidhamu na heshima
huko kote napajua vizuri sana ila mpaka wa Kigoma unao pakakana na nchi za Burundi na Kongo unaongoza kupitisha wahamiaji haramu zaidi na wengi wao wanaishi Kigoma bila kuwa na vibali.Mkuu, nchi hii haijafikia hatua hiyo, nchi hii inavyombo imara vya usalama na ukaguzi imara zaidi ya ujuavyo. Kigoma sio mkoa wenye mipaka peke yake, ipo mikoa mingi imepakana na nchi za jirani Tunduru kuna mpaka na nchi ya Malawi na Mozambique, Namanga imepakana na Kenya, Mutukula imepakana na Uganda, na Kigoma imepakana na Burundi na Congo kupitia ziwa Tanganyika kama ilivyo Zanzibar imepakana na Mombasa kupitia Bahari ya hindi, kama ilivyo mtwara imepaka na Comoro kupitia bahari ya hindi. Kwa hiyo kauli yako ya kusema kwamba Kigoma kuna wakimbizi haramu ni batili.
Duuh, ila bado sana aisee.
Nafurahi kuona kuna mabadiliko.
Daah Kigoma bado sana labda fukwe za ziwa victoria na Gombe pekee.
Miji yao kuanzia kigoma mjini na wilaya zake hakuna mvuto kabisa.
Uvinza, Kasulu nk hakuna mvuto kabisa
Vumbi jekundu!!
aisee huu mkoa wa hovyo sitafika daima.
Muha,kwani kuna kabila gani zaidi ya hao
Wamanyema sitaki waswahili sana
Kila baada ya nyumba 2 Kuna Mchawi