Hapa ndio ninapokuwa na walakini na uwepo wa Mungu

Hapa ndio ninapokuwa na walakini na uwepo wa Mungu

Habari za siku ya leo Wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.

Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.

Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).

Ni hayo tu
Upo vizuri sana kimawazo.Na unapokuwa kwenye raha umeshawahi kumsifu na kuamini uwepo wake bila DILEMA yako?
 
Hakuna Mungu ni wazo lililotengenezwa na Wanadamu tu.

Kwenye ule mgogoro wa kule Palestina, walikufa wapalestina 46,000 ikiwemo watoto, wazee, wagane, wajane na watu wengine, msaada wake mliuona?

Vita ya Kongo hapo, zaidi ya miaka 40 watu wanauwawa, wamesaidiwa na nini?

Kinachoendelea hapo Sudan, kinafahamoka, kule Myanmar hasa kwenye Jimbo la Rohingya.

Tazama magonjwa na shida halafu matokeo yake ikawaje?
 
Kasome kitabu cha Ayubu kina unabii mkubwa sana pale..lakini pia wakati una nafasi ya kuandika haya ukiwa na simu janja yenye network, bundle na chaji wakumbuke pia
Waliojibanza vibarazani wasio na makazi
Wagonjwa mahospitalini
Wafungwa magerezani
Nknk
Sasa kwanini Mungu awaache waendelee kuteseka???
 
Hapo sasa hapo sasa, nyuzi za atheism zinakuwag viral hizi, utakuta in less than 40 mins watu haooooo.
 
Habari za siku ya leo Wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.

Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.

Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).

Ni hayo tuimi nimekuelewa, nachoweza kusema sio kipindi chepesi!

Biblia inasema "tukisema hatuna dhambi tunajidanganya Wala kweli haimo moyoni mwetu...."

Wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu.....

Ila pia inasema "watakatifu walioko duniani ndo Mungu anaopendezwa nao......

Acha niishie hapo..

IIa ni kipindi tu hiko na kitapita , sio rahisi asikwambie mtu
Mungu mwenyewe atakusaidia ila sio rahisi
 
Now these things happened to them as an example, but they were written down for our instruction, on whom the end of the ages has come. Therefore let anyone who thinks that he stands take heed lest he fall. No temptation has overtaken you that is not common to man. God is faithful, and He will not let you be tempted beyond your ability, but with the temptation He will also provide the way of escape, that you may be able to endure it. ~1Corinthians 10:11-13
 
Back
Top Bottom