Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Huyo Mungu kama yupo, Yupo wapi?Mungu yupo
Huyo Mungu kama yupo, Kwa nini anataka kuaminiwa yupo akiwa mafichoni, Badala ya kujitokeza hadharani akajulikana yupo kwa uhakika kabisa?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Huyo Mungu kama hapendi kudhihakiwa, Kwa nini aliumba binadamu wenye uwezo wa kumdhihaki?Na hapendi kudhihakiwa.
Huyo Mungu kama hapendi kudhihakiwa, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote?