mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Hivi unajuwa kuwa Wamisri si Waarabπππ haya, basi sawa walimu wa uislam wamefeli shule hapa Tanzania.
Na huko mataifa mengine pia walimu wao walifeli? Nenda kasome uislam halafu uje hapa kushuhudia tena......kwa elimu gani iliyo ngumu hapa Tanzania?
Nyinyi na akili zenu mnawazidi nini Saudi Arabia au Misri kwenye waislam wengi?
Ficha ujinga wako.
Shetani hawezi mtoa shetani mwenzake kwa maana ufalme huo utakuwa umefitinika.SIKU MKIKEMEA MAJINI/MAPEPO/MIZIMU KWA JINA LA MUHAMMAD (S.A.W) NA YAKAKIMBIA AU YAKAMTOKA MTU ALIYEPAGAWA KAMA MIMI NINAVYOYAKEMEA KWA JINA LA YESU KRISTO (YESHUA)NA KUYAAMURU YAMTOKE MTU NA KUKIMBIA NDIO NITAAMINI KWAMBA MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
Jana alinukuliwa kwenye TV kuwa yeye (FaizaFoxy) ni mmoja wa mabikra 72 huko mbinguni anasubiri tu vijana wanaojiua makusudi akawafariji.Hivi huyu ajuza naye atapewa wanaume 72 wa kimpasha kiporo!!??
Mzee Wayahudi gani Hao? Maana wayahudi wapo kama Taifa(Watanzania)au wayahudi kama dini?Yesu na Mohammed wote ni characters ambao jamii haikuwakubali na mpaka leo hii Wayahudi hawaamini Yesu kuwa mtoto wa Mungu na Mohammed wanamuona ni kama gaidi na ndiyo maana wanamuita kichaa au mtu aliyepatwa na majini.
Punguza bangi basi. Vitu vingine sio lazima ujibu. Kwani wapi nimesema Wamisri ni waarabu?Hivi unajuwa kuwa Wamisri si Waarab
Ni kweli hatufanani maana mimi ninamuomba Mungu moja kwa moja, sipitii kwa mtu kama wewe unaemuomba Mungu kupitia Yesu.Usilazimishe tufanane sheheee. Mi si size yako wewe endelea na umbumbumbu wako ipo siku utaelewa.
Na wewe unamuitaje?Yesu na Mohammed wote ni characters ambao jamii haikuwakubali na mpaka leo hii Wayahudi hawaamini Yesu kuwa mtoto wa Mungu na Mohammed wanamuona ni kama gaidi na ndiyo maana wanamuita kichaa au mtu aliyepatwa na majini.
Waislamu hawabatizwi 7bu ni kwamba Yesu alisema tujifunze kwake na sio kwa Yohana, kwakua waislamu tunajifunza kwa Yesu hatubatizi maana Yesu mwenyewe hakubatiza mtu ktk maisha yake.Yesu alibatizwa, mbona hawabatizwi?wanatetea kitu kwa ujinga mkubwa kabisa π€£π€£π€£
Na Maria wakatoliki wanasema ni bikra wakati alimzaa Yesu.Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.
Yesu alisema enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi MKIWABATIZA kwa jina laWaislamu hawabatizwi 7bu ni kwamba Yesu alisema tujifunze kwake na sio kwa Yohana, kwakua waislamu tunajifunza kwa Yesu hatubatizi maana Yesu mwenyewe hakubatiza mtu ktk maisha yake.
Yesu alisema enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi MKIWABATIZA kwa jina la Baba,mwana na roho mtakatifu mkiwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyiWaislamu hawabatizwi 7bu ni kwamba Yesu alisema tujifunze kwake na sio kwa Yohana, kwakua waislamu tunajifunza kwa Yesu hatubatizi maana Yesu mwenyewe hakubatiza mtu ktk maisha yake.
Yesu alisema enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi MKIWABATIZA kwa jina la7lWaislamu hawabatizwi 7bu ni kwamba Yesu alisema tujifunze kwake na sio kwa Yohana, kwakua waislamu tunajifunza kwa Yesu hatubatizi maana Yesu mwenyewe hakubatiza mtu ktk maisha yake.
Nawaita Yesu na Mohammed au ulitaka niwaiateje?Na wewe unamuitaje?
Basi waite hivyo maana ndio majina yao.Nawaita Yesu na Mohammed au ulitaka niwaiateje?
Ulichoambiwa sio kibaya endapo utatafuta elimu ukawa na uhakika ukaondokana na maneno ya kuambiwa. Eg. Adam alifungishwa ndoa na nani? Kisha binaadamu anatakiwa atafakari maneno ya kusema kabla hajasema. Eg. Nilizaliwa baada ya ndoa kupita au nilizaliwa wakati wazazi wangu wapo ktk kipondi cha kuagalizana tabia?Mimi toka niambiwe uislam ni kizazi cha kijakazi baas!
samahani lkn
Kwa nini tukiamini kitabu cha dini yako kama ndio ukweli wa historia halisi??Mie quran inaonesha wazi kuwa woooteee hao walileta ujumbe mmoja unaofanana, walikuwa waislam,
Nioneshe ww andiko lolote linalowanad Ibrahim na Adam na wenzao kuwa walikua wakristo bas ππππππ
Hata wewe ulikuwa Muislam, labda huelewi maana ya neno Uislam na ni nini kuwa Muislam.Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.