Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo opinion Poll atakuwa kafanya Profesa aliyeokotwa jalalani!Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Kwani Rais kwa sasa ni nani?Jana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.
Muungwe mkono na mabeberu?Na hii kauli ndo itafanya tuungwe mkono na jumuiya ya kimataifa pale tutakapoamua kumng'oa madarakani kwa nguvu
Kama unafikiri mtafanana maisha na Makonda basi pole!Paul Makonda hakutegemea angeondoka kwenye mkuu wa mkoa wa dar na kuwa kama kidagaa. Kuna dalili baba yake nae akapigwa na butwaa la chato[emoji1787][emoji1787]
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Mimi sijawahi kujilinganisha na mtu kwasababu najua hatulingani wala hatufanani sasa kwanini niwe na ujinga wa kilinganisha? Nilichosema kuwa ukuu wa mkoa hanao tena sasa hata akipewa nafasi nyengine so what?Kama unafikiri mtafanana maisha na Makonda basi pole!
Opinion polls zimefanywa na nani?Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Kwenye utawala wa sheria,hiyo ni rushwa ya wazi na alitakiwe awe disqualified.Jana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.
Unafikiri urais wake umekoma eeh!!? Jidanganye soma vizuri KatibaJana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.
Vigezo na masharti ya sheria ya takwimu,Sheri's tuliyopitisha mswaada wake kwa hati ya dharura iheshimiwe na woteHiyo opinion Poll atakuwa kafanya Profesa aliyeokotwa jalalani!
Ni lazima JPM awaambie watanzania kafanya mambo gani makubwa ya kimaendeleo kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.kama kaweza makubwa madogo hayatomshinda kuyatekeleza endapo wananchi wakimchagua kwa mara ya pili.
Urais haujakoma lkn mambo yote yankua chini ya katibu mkuu waserikali mpaka baada ya uchaguzi. Wewe ndio usome katiba.Unafikiri urais wake umekoma eeh!!? Jidanganye soma vizuri Katiba
Hujui kitu! Nchi haiwezi kukosa Rais hata sekunde moja!Uraisi haujakoma lkn mambo yote yankua chini ya katibu mkuu waserikali mpaka baada ya uchaguzi. Wewe ndio usome katiba.