Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu jamaa anajua kabisa kwamba hatashinda ktk sanduku la kura. Hivyo anategemea zaidi magumashi ya wakurugenzi na vyombo vya dola.Kwa mfano alisema eti (Lissu) anagombea Urais ambao hatashinda! Yeye, kama mgombea, anajuaje kama Lissu hatashinda? Yeye, kama mgombea, anamjua mshindi wa uchaguzi huu tayari? Amejuaje?
Naomba unionyeshe wapi nimeandika neno zinasimamishwa?.Acha kukariri bali fikiria kabla ya kuandika ngonjera zako hapa. Sasa kama unasema shughuli za Rais zinasimamishwa hapo kuna Rais? Narudia tena kwa Mujibu wa Katiba yetu hakuna hata sekunde moja ambapo Rais anakuwa hayupo katika nchi. Shughuli zake zinaendelea kama kawaida. Katibu Mkuu Kiongozi hawezi kufanyakazi kama Rais hata siku moja. Kuhusu CDF mambo ya kijeshi achana nayo huyajui kabisa hangaika na siasa uchwara tu.
Unazijua sheria za tume yauchaguzi vizuri kweli?Rushwa ipi wakati pesa za ujenzi wa zahanati zimepelekwa huko kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni!
Wakiwa watu ni wachache mnasema ooh hawako tayari kitawala nchi pakitokea nyomi la Nguvu oooh msidanganyike na mafuriko yani mpo Kama mwanamke aliyetungwa mimba nje ya mfuko wa uzazi...nyambafu tulieni mlisema upinzani umekufa Sasa Nini kuliaAcheni kudanganyika na mikusanyiko mnayoiona.. Katika jiji kama Mza lenye wakazi milioni mbili, watu wazima wakiwa takrabin 1.5M, CHADEMA ikikusanya watu elfu 20, hao ni sawa sawa na 1.5%. Kwa hiyo huwezi isemea 98.5% ambayo haijafika kwenye mkutano wa Lissu ina maamuzi gani.
Kama akishinda kihalali tutavumilia miaka mingine mi-5 ya msoto, ila akishindwa akubali tuu, asije akamwaga damu kwa kung'ang'ania madaraka sababu hata Lissu naye ni kama mbogo aliyejeruhiwa, simuoni akikubali kudhulumiwa kirahisi ushindi.Watumishi wa Tume ya UCHAGUZI wote ni WATEULE WAKE.
Wasimamizi wa Uchaguzi wote ni WATEULE WAKE.
Viongozi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, wote ni Wateule wake.
Mishahara anawalipa yeye, magari mazuri amewapa yeye.
Halafu wawatangazie WAPINZANI ushindi!!!!!!!!!!!!.
AMEJIHAKIKISHIA USHINDI.
Wanaofanya real opinions polls walishashughulikiwa zamani, wa mwisho kula kibano walikuwa TWAWEZA, sasa sijui wewe umeota wapi?Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Ukisema jiji lina watu 1.5m it means watoto, wazee na vijana. Watoto, under 18 years unaweza kukuta ni 45 to 50 %, hivyo wanaozungumzuwa hapa ni watu wazima above 18 yrs, so hiyo % ni ya hao wenye uwezo wa kuja mikutanoni.Acheni kudanganyika na mikusanyiko mnayoiona.. Katika jiji kama Mza lenye wakazi milioni mbili, watu wazima wakiwa takrabin 1.5M, CHADEMA ikikusanya watu elfu 20, hao ni sawa sawa na 1.5%. Kwa hiyo huwezi isemea 98.5% ambayo haijafika kwenye mkutano wa Lissu ina maamuzi gani.
Huko moyoni mwako wasiwasi umekujaa kwamba Lissu aweza kushinda [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani hata swali langu hujaliona!? Kweli vilaza hamtaisha JF.Hahaha Hapa ni TANZANIA sio lazima Wa USA na WARUSSIA wasemee wao ya kwaooo THIS IS BLACK NATION Tnakwenda na Yetu
Opinion poll ya mwisho ya Twaweza miaka 3 iliyopita aliporomoka mpaka 65% mpaka yule Mkuu Bw. Eyakuze akajikuta matatani na kunyang'anywa Hati yake ya Kusafiria kungojea kukamilika uchunguzi wa Uraia wake. Matokeo ya uchunguzi ule hadi leo hayajawekwa wazi na hatma ya Twaweza na alipo Eyakuze hakuna habari yoyote. Taasisi iliyoendesha Opinion Poll iliyopandisha makadirio kufika 90% ingetajwa usije na wewe ukanyang'anywa Passport yako kama unayo na Uraia wako kuhojiwa kwa sababu CCM Mara nyingi wamesema mgombea wao atapita kwa asilimia 99%. Kaa chonjo hata kama wewe ni CCM!Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Nadhani ni Umoja wa Vijana bila Marinda bila Vaseline lumumba govOpinion polls zimefanywa na nani?
Hapa Russia tuna the Levada Center,wao wana reputation nzuri kuhusu researches & polls.
USA kuna Gallup,YouGov na wengine wanaotambulika.
Hao waliofanya opinion polls ya 90% ni nani?
Opinion polls za wapi? Tuna sheria ya takwimu, zimeidhinishwa wapi hizo poll? JPM yuko kwenye wakati mgumu sana uchaguzi huu...he is going to be a first president with only first term in Tanzania amini au usiamini!Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Atapigwa na butwaa kubwa pale anapotakiwa kufanya Handover ya ofisi ya urais kwa Mhe.Tundu Lissu.....
Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Jana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.