Uchaguzi 2020 Hapa ndipo anapokosea Dkt. John P. Magufuli. Kwasasa yeye ni 'mgombea zaidi' kuliko Rais

Mshamba tu

Ccm Zanzibar inatia huruma .
Mgombea Urais Wanapewa
Wabunge wanapewa
Hata wawakilishi wanapewa kutoka Dodoma.

Tukumbuke ASP+TANU =CCM
Lakini Zanzibar hawezi kutoa M/Kiti wala SG

Kuna Makamu Wenyeviti 2

Akifa M/Kiti wao wa taifa anachukua nafasia Makamu wa Bara Ccm
Kwa ufupi Ccm Zanzibar Kama Tawi la Ccm Mtwara.

Wanzazibar hamkeni.
 
Hivi unafikiri Kuna mtu hapo ? Tanzania hatuna tiss Mpaka jiwe kawa presidaa ,ukipewa stori zake huna hamu .
 
Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.

Hakuna opinion polls zinazoruhusiwa Tanzania, wewe uliona wapi?


Eeh?

Uliona wapi?????
 

Sio ‘YEYE’.. yote hayo anayafanya kwa kodi zetu sisi. Hatoi hizo gari na hela huko mfukoni kwake. Ajue kuwa yuko pale kwa sababu yetu sisi wananchi. Na anatoka huyu October.. tushachoka kumuelewesha mtu kila siku kuwa yeye ni muwakilishi wetu tu pale kwenye kile kiti, sio ‘master’ wetu. Kila kitu anajivika nacho uhusika.. ‘changu’, ‘mimi’.. Amejisahau sana kama ni mtumishi tu. Aende akapumzike sasa huko Chato.
 
Lumumba imejaa watu wa aina gani?
 
Jana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.
Ataendelea kuwa Rais mpaka hapo Rais mwingine ataapishwa
 

Tusishangae katumbua mtu kwenye mikutano yake ya kampeni.

Huku si kuchanganyikiwa peke yake.

Kale kaukichaa alikokasema mwenyewe kanaweza si ka kufumbia macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…