Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Opinion za wapi hizo leta LinkMkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Mkuu, opinion polls zinaonesha CCM (Magu) itashinda kwa kishindo uchaguzi huu.. Makadirio yakiwa ni ushindi wa zaidi ya 90%.
Watumishi wa Tume ya UCHAGUZI wote ni WATEULE WAKE.
Wasimamizi wa Uchaguzi wote ni WATEULE WAKE.
Viongozi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, wote ni Wateule wake.
Mishahara anawalipa yeye, magari mazuri amewapa yeye.
Halafu wawatangazie WAPINZANI ushindi!!!!!!!!!!!!.
AMEJIHAKIKISHIA USHINDI.
Lumumba imejaa watu wa aina gani?Kila anapopita, hujieleza. Tena ni mambo yale yale aliyoyahubiri na kuyatajataja kwa miaka yake yote mitano madarakani: ujenzi wa reli, ujenzi wa bwawa la umeme, barabara, zahanati, madaraja na kufuta ada za shule za msingi hadi kidato cha nne. Hana jipya katika sera zake. Hana mipango mipya kuelekea 2025. Ndiyo maana ametamka kuwa miaka mitano hii iliyopita ilikuwa ni onjaonja tu, yenyewe inakuja. Nani, mwenye utimamu wa akili na mwili, ataitaka hali iliyopo iendelee?
Katika kauli zake (mfano ya jana kule Ikungi, Singida), Dr. Magufuli amekuwa akizungumza kana kwamba yeye si mgombea wa Urais ila Rais 'anayeendelea' bila kuzingatia matokeo ya mwisho ya kura za Urais zitakazopigwa Oktoba 28. Kwa mfano alisema eti (Lissu) anagombea Urais ambao hatashinda! Yeye, kama mgombea, anajuaje kama Lissu hatashinda? Yeye, kama mgombea, anamjua mshindi wa uchaguzi huu tayari? Amejuaje?
Dkt. Magufuli anapaswa kuuvaa 'ugombea' zaidi ya Urais. Anapaswa, pamoja na kuwa bado yuko madarakani, kusema amefanya nini; amefanikiwa katika nini; ameshindwa katika nini na atarekebishaje aliposhindwa. Si sawa hata kidogo kuongea kana kwamba LAZIMA ASHINDE. Watanzania wanaweza kumchagua mgombea mwingine kwa kura zao. Wanaweza kuvutiwa na mwingine katika sera hata kama hakuna hela.
Mgombea ajinadi kwa sera zake na si mikwara yake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kasulu, Kigoma)
Ataendelea kuwa Rais mpaka hapo Rais mwingine ataapishwaJana katoa amri zahanati ijengwe Singida na ataenda kuzindua mwezi wa 11 sasa kama nayeye nimgombea unatoaje ahadi kuwa kianze kujengwa katikati ya kampeni hio sirushwa?.
Kila anapopita, hujieleza. Tena ni mambo yale yale aliyoyahubiri na kuyatajataja kwa miaka yake yote mitano madarakani: ujenzi wa reli, ujenzi wa bwawa la umeme, barabara, zahanati, madaraja na kufuta ada za shule za msingi hadi kidato cha nne. Hana jipya katika sera zake. Hana mipango mipya kuelekea 2025. Ndiyo maana ametamka kuwa miaka mitano hii iliyopita ilikuwa ni onjaonja tu, yenyewe inakuja. Nani, mwenye utimamu wa akili na mwili, ataitaka hali iliyopo iendelee?
Katika kauli zake (mfano ya jana kule Ikungi, Singida), Dr. Magufuli amekuwa akizungumza kana kwamba yeye si mgombea wa Urais ila Rais 'anayeendelea' bila kuzingatia matokeo ya mwisho ya kura za Urais zitakazopigwa Oktoba 28. Kwa mfano alisema eti (Lissu) anagombea Urais ambao hatashinda! Yeye, kama mgombea, anajuaje kama Lissu hatashinda? Yeye, kama mgombea, anamjua mshindi wa uchaguzi huu tayari? Amejuaje?
Dkt. Magufuli anapaswa kuuvaa 'ugombea' zaidi ya Urais. Anapaswa, pamoja na kuwa bado yuko madarakani, kusema amefanya nini; amefanikiwa katika nini; ameshindwa katika nini na atarekebishaje aliposhindwa. Si sawa hata kidogo kuongea kana kwamba LAZIMA ASHINDE. Watanzania wanaweza kumchagua mgombea mwingine kwa kura zao. Wanaweza kuvutiwa na mwingine katika sera hata kama hakuna hela.
Mgombea ajinadi kwa sera zake na si mikwara yake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kasulu, Kigoma)