Hapa ndipo Area D, Dodoma. Na hili ndilo geti lililoachwa wazi na walinzi kutokomea siku Lissu aliposhambuliwa

Hapa ndipo Area D, Dodoma. Na hili ndilo geti lililoachwa wazi na walinzi kutokomea siku Lissu aliposhambuliwa

Natamani hii sinema ifike mwisho halafu itokee anayetuhumiwa sie mhusika
 
Kuna taasisi nyingine ukiajiriwa unapewa barua ya kusaini, ndani kuna kipenge "ukisaliti ni kifo" Ina maana umekubali na uwe unachunga sana ulimi wako.
 
..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.

..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.

..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.

..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.

..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
mwandishi kama Saed Kubenea yule wa mwana halisi alichunguza vizuri sana tukio la Ulimboka hadi tukamjua Ramadhani ighondwe. sijui sikuizi yupo wapi na anafanya nn
 
..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.

..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.

..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.

..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.

..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
Dah bongo hatuna media kabisa, Kenya wako mbali sana huwa Wana cover ushahidi utadhani ni majasusi kamili.
 
mwandishi kama Saed Kubenea yule wa mwana halisi alichunguza vizuri sana tukio la Ulimboka hadi tukamjua Ramadhani ighondwe. sijui sikuizi yupo wapi na anafanya nn
Mbunge wetu Singida Kaskazini
 
..Nashauri Mdude Nyagali akafunguke mbele ya Tume ya Jaji Mkuu Chande.
Tumhamasishe aende. walio karibu na sugu wamwambie aende kama mwananchi wa kawaida
ahamasishwe mke wa anzory gwanda nae aende
wazazi wa Ben Sanane nao wahamasishwe waende wakaeleze kinaga ubaga
 
Dawa ya msaliti ni puh puh tu
Alafu hafi unakufa ww kibwege kwa kunguni
FB_IMG_16757118180330220.jpg
 
Waandishi wa habari za kiuchunguzi wanafuata upepo wa watawala. Ni hasara sana kwa nchi.
..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.

..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.

..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.

..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.

..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
 
..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.

..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.

..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.


Hii ishu kuna siku lazima ita back fire tuu trust me
 
Back
Top Bottom