Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazuri hawafi ndiyo maana rafiki yangu kikwete na kinana wapo hai mpaka leo (Makamba mkubwa)Dawa ya msaliti ni puh puh tu
Dawa ya msaliti ni puh puh tu
mwandishi kama Saed Kubenea yule wa mwana halisi alichunguza vizuri sana tukio la Ulimboka hadi tukamjua Ramadhani ighondwe. sijui sikuizi yupo wapi na anafanya nn..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.
..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.
..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.
..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.
..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
Dah bongo hatuna media kabisa, Kenya wako mbali sana huwa Wana cover ushahidi utadhani ni majasusi kamili...tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.
..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.
..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.
..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.
..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
Ile Nissan nyeupe itajulikana tu
Mbunge wetu Singida Kaskazinimwandishi kama Saed Kubenea yule wa mwana halisi alichunguza vizuri sana tukio la Ulimboka hadi tukamjua Ramadhani ighondwe. sijui sikuizi yupo wapi na anafanya nn
Tumhamasishe aende. walio karibu na sugu wamwambie aende kama mwananchi wa kawaida..Nashauri Mdude Nyagali akafunguke mbele ya Tume ya Jaji Mkuu Chande.
Alafu hafi unakufa ww kibwege kwa kunguniDawa ya msaliti ni puh puh tu
Dawa ya msaliti ni puh puh tu
..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.
..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.
..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.
..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.
..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
Swali lenye thamani ya $ Billioni moja hili.😎Mama yako akimsariti Baba yako au
Kuna huyu anatembea huku anaoza taratibu. Kukaa na risasi mwilini ni umautiUnawakilisha ushamba wa mangosha kama yule chizi ambaye anaoza mwaka wa pili sasa.
Msaliti yuko motoni anaokwa kama ndafu dadeqDawa ya msaliti ni puh puh tu
Wewe wema wako ni nini?Wewe ni mmojawapo wa watu waovu sana.
Akikusubiri wewe mkaokwe wote dadeqMsaliti yuko motoni anaokwa kama ndafu dadeq
Hii ishu kuna siku lazima ita back fire tuu trust me..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.