Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?


Tatizo mabinti wengi wanafikiri watu wote wanaosomea SUA ni wakulima na ukichanganya na jina lako basi binti anamwaga mbio haraka mkuu. Tafuta mwingine
 
Tatizo mabinti wengi wanafikiri watu wote wanaosomea SUA ni wakulima na ukichanganya na jina lako basi binti anamwaga mbio haraka mkuu. Tafuta mwingine
hhahahahahahahahahahahahaa
 
kaka hongera kwa ku move on,,hyo ni same namimi,now naona kawaida tuu,, mschana sio wa kumpa iman sana,,, bila shaka alipata mtu mwingine
Wanawake wamekuwa waongo na warahisi sana siku hizi na hasa akijua mpo mbali na wewe anajiona ana uhuru sana, hivyo sio ajabu atakuwa ameshapata wa kumgonga hapo chuo.

Ukifatilia kwa makini utakuja kukuta kuna mtu ameshaku replace. Ndivyo dada zetu walivyo so just tafta na wewe wako ili akishalizwa huko alipo akute na wewe una wako.
 
Hahahah we unazingua ujue,,, enzi zangu namie niliishi na demu wangu ni raha sana mzee!
 
siamini katika mapenzi ya mbali mbali zaidi ya mwezi mmoja- miwili!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hasa kwa msichana kama huyo ambae kashaanza kuonyesha mabadiliko.
jiongeze ndugu!
Mbali hivyo...wengine week mbili tu tayari kagonga/kagongesha nje!
 
Inauma sana pale unapompenda demu na kumthamini sana kiasi kwamba unaji sacrifice kwa lolote juu yake kisha anatumia udhaifu wako kukusaliti bila huruma. It really pains i feel you bro. Ila yataisha pole sana mkuu!
 
fanya shughuli nyingine hy kuna mdau kamuweka ndani
 
sawa mkuu upo sahh
 
Inauma sana pale unapompenda demu na kumthamini sana kiasi kwamba unaji sacrifice kwa lolote juu yake kisha anatumia udhaifu wako kukusaliti bila huruma. It really pains i feel you bro. Ila yataisha pole sana mkuu!
yaaa br
 
Nasema hivi silaha za kumshinda mwanamke
1. Njunja vizur hata mkongo we paka
2. Toa pesa kwa wingi siziso na kuuliza uliza maana kuna wanaume mpaka aambiwe ndo anatoa we toa tu km chizi kaona makopo
3. Rudia namba 2
4. Click no 1
 
Nasema hivi silaha za kumshinda mwanamke
1. Njunja vizur hata mkongo we paka
2. Toa pesa kwa wingi siziso na kuuliza uliza maana kuna wanaume mpaka aambiwe ndo anatoa we toa tu km chizi kaona makopo
3. Rudia namba 2
4. Click no 1
saawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…