Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

dogo soma,,,,,madem wa chuo ni pasua kichwa.....uko chuo kwa ajili ya kuelimika sio kusimamisha ukuni,,, pumbafu wewe.....soma kwanza.....mwenzio huko anaulilia ukuni wa aina ingine,,, wewe unambwela mbwela hapa....
 
Mkuu
Mkuu hiyo idd! pole yako
 
Mkuu kuna mtu anakusaidia kumega hapo.... Nakumbuka nliwah kumtenda dem mmoja kwa kutumia sababu hzohzo ulizoztaja... Nlimtenda kwa tabia zake za kunigeuza Red Cross ya familia yao
 
Penzi lipi tena hapo Mkuu? Kusoma huju, hata picha huoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…