Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Unalalamika nini wakati unajiita ndondocha mkuu? Hiyo ndio tafsiri yake
 
Somo ndugu yangu, fikiria hata jinsi ya kuishi mtaani baada ya shule. Chukulia mapenzi kitu cha kawaida acha kupendapenda ovyo ww bado ni kijana mdg, tafuta tu msichana wa kufarijiana hapo SUA.
 
Somo ndugu yangu, fikiria hata jinsi ya kuishi mtaani baada ya shule. Chukulia mapenzi kitu cha kawaida acha kupendapenda ovyo ww bado ni kijana mdg, tafuta tu msichana wa kufarijiana hapo SUA.
nashukuru sanaa,nmekuelewa
 
Kijana pole sana...Bado una imani na love in long distance.kumuamini huyu msichana ni sawa na mzazi ama mlezi amiin mtoto wake kupangiwa kidato cha tano na sita bila mchepuo au combination.usipo kuwa makini utakosa vitu vitatu elimu,pesa zako na huyo binti.Hapo fanya maauzi umkose huyo binti ili upate pesa na elimu yako......
Mkuu nimesoma comment zote ila yakwako Ndio imeshiba ushauri mujarabu naamini akiufata huu hata jutia...
 
Mkuu umenikumbusha mbali Sana, anyway pole Sana, tupe updates basi.
 
Back
Top Bottom