Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Duuuuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Wote
Bado Sija-oa mkuu, Mkeo Uko Kwao hana wadogo zake wa kike ? [emoji16][emoji16]
Na ww ukakubali mwanaume mwenzio akubebe na mkeo akabebwa na dume lingine!Kutoka Dar mpaka kijijini
View attachment 1426075View attachment 1426076View attachment 1426077
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona jamaa anampanua waifu?Kutoka Dar mpaka kijijini
View attachment 1426075View attachment 1426076View attachment 1426077
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kusudi lake kubwa ilikuwa kutujulisha kuwa ana mke mwenye msambwanda wa uhakika!Ulivyomkumbatia mbebaji[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mkeo ana msambwanda [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyembebea mkewe amepata raha sana, si unaona jamaa anavyo upapasa msambwanda kimtindo.Ila we jamaa mdebwedo sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani maji mafupi hayo unashindwa kukunja sarawili yako utembee mwenyewe kweli mwanaume mzima unapakatwa?!
Hivi unajiskiaje kubebwa na mwanaume mwenzio mgongoni kama mwali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazingira tofauti.
π¬π¬π¬ππAlivyo mkumbatia mbebaj bora yeye angekuwa nyuma mkewe mbele.. Hovyo sana..Ingekuwa vyema kama wewe ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.
Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.
Hahahaa. Binamu tatizo siku hizi hamtuonei wivu. Sa sijui kwa nini?π¬π¬π¬ππAlivyo mkumbatia mbebaj bora yeye angekuwa nyuma mkewe mbele.. Hovyo sana..
Acha uongo kama unaona hauna shida bas jua ww ndo shida mwenyeweLaiti ungejua nilivyo na maisha comfortable usingehata ongea. Nina miaka zaidi ya 10 sijajua kitu kinaitwa shida
Hivi kama we ni masikini unadhani na wengine wote ni masikini pia?
Tume gawanyika Bina.. Mimi ningembeba mwenyewe/kuna tofauti kati ya kumtuma mtu akakuolee na kwenda kuoa mwenyeweHahahaa. Binamu tatizo siku hizi hamtuonei wivu. Sa sijui kwa nini?
Au ndio mnatuamini kupitiliza. π
Comfortable na manguo yamepauka hivy hujui shida kivp hpo akat wife anaonekana shida kibao jpo kidogo ana tako kiainaLaiti ungejua nilivyo na maisha comfortable usingehata ongea. Nina miaka zaidi ya 10 sijajua kitu kinaitwa shida
Utaskia "hao ni wale wanaume wa Dar hao"πππHahahaaa. Tena.
Ila sio mleta uzi peke yake ujue wapo Me wengi siku hizi wanaogopa maji mbaya. Wapo radhi wabebwe namna hiyo ila si maji kuwagusa.
Halafu unasikia mtu anasema 500 kitu gani bora nibebwe tu. Lol.
Nipo nyuma yako, nakazia kwa nguvu zote ShadeeyaIngekuwa vyema kama wewe ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.
Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.