Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Si umeona kijijini kwao kulivyo,ameishi Dar ameshayasahau mazingira ya kwao,eti hadi avushwe tena na mkewe abebewe,doh,aangalie asije kubebewa mazima,😜😜
Hahahaaa. Tena.

Ila sio mleta uzi peke yake ujue wapo Me wengi siku hizi wanaogopa maji mbaya. Wapo radhi wabebwe namna hiyo ila si maji kuwagusa.

Halafu unasikia mtu anasema 500 kitu gani bora nibebwe tu. Lol.
 
Nahitaji kujua kitu kimoja ambacho Tanzania tumefanikiwa, miundombinu ovyo, technology ovyo, hata kufanya kazi watu wavivu, maofisini ukienda unaangaliwa tu, watu wengi afya mgogoro vitambi kila kona badala ya mazoezi, ukiwa kibonge na matako makubwa unakua very popular huku ni afya mgogoro, yaani we are doing all the wrong things [emoji23]
Corona imenifanya nizidishe mazoezi.
Naangaika na hiki kitambi kiondoke haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila we jamaa mdebwedo sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani maji mafupi hayo unashindwa kukunja sarawili yako utembee mwenyewe kweli mwanaume mzima unapakatwa?!
Hivi unajiskiaje kubebwa na mwanaume mwenzio mgongoni kama mwali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua ataandika hapa namvusha mke wangu kutoka ng'ambo hii kwenda nyingine
 
Ila we jamaa mdebwedo sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani maji mafupi hayo unashindwa kukunja sarawili yako utembee mwenyewe kweli mwanaume mzima unapakatwa?!
Hivi unajiskiaje kubebwa na mwanaume mwenzio mgongoni kama mwali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Harafu kwa mbele kuna mwanaume mwenzie kabeba gunia mgongoni na anavuka maji hayohayo.
 
Hahahaaa. Tena.

Ila sio mleta uzi peke yake ujue wapo Me wengi siku hizi wanaogopa maji mbaya. Wapo radhi wabebwe namna hiyo ila si maji kuwagusa.

Halafu unasikia mtu anasema 500 kitu gani bora nibebwe tu. Lol.
Maji yanayotembea ni bora uwe boya tu sio kuogopa eti mwanaume wa Dar uingie yakubebe.
 
Corona imenifanya nizidishe mazoezi.
Naangaika na hiki kitambi kiondoke haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana, komaa angalau miezi mitatu ukishaanza kuona mabadiliko hutoacha. Ukipiga wiki moja hutoona kitu wengi hua wanakata tamaa mapema. Piga zoezi badilisha na mlo lakini, mlo ni muhimu sana, wanasema mazoezi hujenga 20% hiyo 80% hujengwa kwa mlo mzuri
 
kwa hiyo mayai sana! duhh! umeshindwa hata kumprotect huyo unaachia anakumbatia vijamaa vimekomaa misuli!! Kisa hutaki shida!! umefeli! tena bilo BarAKOa!!
Mkuu vipi? hiyo reply inakuja kwangu kweli? em rudia kuisoma vizuri maana sielewi hata ulichoandika
 
Wenzenu mikoani tunatembea na mitumbwi kwenye begi. Ukifika sehemu ya hivyo iliojaa maji unatoa mtumbwi wako unapiga kasia chap hadi upande wa pili. Unakunja mtumbwi kwenye begi maisha yanaendelea..

Sasa vijana wa dar wanywa alkasusu sijui mkoje?
 
Nahitaji kujua kitu kimoja ambacho Tanzania tumefanikiwa, miundombinu ovyo, technology ovyo, hata kufanya kazi watu wavivu, maofisini ukienda unaangaliwa tu, watu wengi afya mgogoro vitambi kila kona badala ya mazoezi, ukiwa kibonge na matako makubwa unakua very popular huku ni afya mgogoro, yaani we are doing all the wrong things [emoji23]
“ukiwa kibonge na matako makubwa unakua very popular huku ni afya mgogoro”🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watu mnalaumu tu
Wakati mwingine rizki tunapeana tu kama wabebaji wasingekuwepo ni wazi kuwa jamaa angevuka vizuri tu na mkewe angekunja gauni wavuke
Maji yenyewe ya magoti tu

Huwezi kukomaa jamaa wanakwambia bro tunakuvusha kwa elfu mbili tu we na mkeo
Wakati mwingine unagombewa ukiwa unakaribia tu kufika eneo hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom