Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

... at relativistic speeds one 60 minute hour could shrink into a 30 minute hour making an earthly day a 48 hour day!
WE'RE ON THE RIGHT TRACK INDEED!
πŸ‘Š πŸ˜…βœŒοΈπŸ’₯
 
Hii chombo (bomb detector) imeundwa pale kibaha na nyumbu au..?


 
Hiyo simu unatumia kaibuni mzungu, Rais wako vifaa vyote vya kumlinda kavitengeneza mzungu hata nguo na viatu katengeneza mzungu, hafu amauhofia hahhaaaa, shule kasoma ya mzingu usije ukakuta hata boxer kavaa ya mzungu
 
Mimi naamini kama beberu anataka kutumaliza basi ni ishu ya siku moja tu,

Wala sio swala la kuweka vidudu kwenye barakoa,

Watasitisha dawa zote, misaada yote, na utalii wote, mpaka hapo tutakuwa tumekwisha
 
Tatizo hujui kuwa hii nchi ni masikini sana.
 
Wakilenga kuangamiza wanafanyia maandalizi. Zinatoka. kuwekewa corona na zinaletwa kwa ndege siku hiyo hiyo. Hapo vibaraka washaandaliwa kugawa Kama msaada!!
hahaha somebody consumes too much conspiracy. TFDA,TBS wamepewa jukumu la kukagua vifaa vyote kuhakikisha viko kwenye standard na havina fault na ni salama kwa matumizi.

sasa wazungu waacha kufanya research mwezin.. mars.. Ai.. hapo bado wapambane na corona ..
waache hivi vyote waje wapambane na tz..

kwa kipi tulicho wazidi?
 
Kuna vijana wa kitanzania bado wanaishi kwenye historia ya nyani kuwa watu , na siku zote wanaishi kwenye maisha yakusema yaani wenzetu wenzetu na mpaka kesho wanabishana hawaoni kama mtu mweusi anaweza chochote hadi sapoti ya mzungu laiti wote wangeweza kuwaza japo kwa mwaka tu kama Magu tungefika mbali sana.
 
yule aliyeenda Ufaransa nae sijui kaenda kuonana na wakina nani kama siyo mabeberu
 
Wewe jidanganye tu.

Hivi vitu vinavyozungumzwa kwa ujumla ujumla kabisa havina mashiko.Ni vizuri ili kuthamanisha chochote kama hiki unachoongea weka data hapo.Research uliyofanya leta hapa.Kwa mfano ni vizuri hao TBS ambao pia mimi siwaamini
waniambie au watuambie WaTz ni barakua za nchi gani zina virus na ziliingiaje nchini na test yake imefanyika wapi.Na aliyeziingiza amechukuliwa hatua gani na kama ni kutumaliza tumeshaisha kwa kuwa tumezitumia since last covid 19,

Watanzania sisi sio watu wa kula makapi kila mara.

Tunaambiwa tuvae barakoa tutengeneze wenyewe je zina ubora unaotakiwa kwa upumuaji au unavaa barakoa ya kitenge unashindwa kupumua na hata kuvuta hewa.Kuna kitu kinaitwa Ventilation.

Akili za kuambiwa,changanya na zako.Usiende tu kama pimbi.
 
Post zingine zinachefua hadi mtu unajuta kuzaliwa Tanzania. Kweli wapumbavu hawana aibu.
 
Kama wewe hapo ulipo haya maandishi hujaandikia kifaa cha beberu basi wewe ni mbuzi tena jike
 
Kwenye maisha unaweza kuhisi unapambana na mtu kumbe unapambana na wewe mwenyewe.
Mana Tanzania tunahisi tunapambana na mabeberu kumbe mabeberu wapo busy na maisha yao.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…