Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Tulizoea kiki ni kwa wasanii lakini sasa kiki anafanya kiongozi ambaye mtu hutarajii,
mkikutana na Mkwawa mmuulize chanjo za watoto ambazo mpaka leo watoto wanachanjwa,nchi yake inaweza kutengeneza?hawa mabeberu wanashindwaje kumaliza watoto wetu?

Mmuulize hivi Italy(mabeberu) ni miongoni mwa nchi ambazo watu wake walikufa kwa ma elfu kwa covid,hawa nao wapo kwenye vita ya kiuchumi na nani?

Katika tawala zote zilizowahi ongoza tz awamu hii tunauongozi wa ajabu sana.
 
yule aliyeenda Ufaransa nae sijui kaenda kuonana na wakina nani kama siyo mabeberu
Amekwenda kutafuta Chanjo kwa ajili ya boss wake maana ile dawa ya Madagascar aliyotumwa kuleta inaonekana haikusadia ikabidi aendelee kujifukiza. WHO na Rais wa Ufaransa wamependekeza nchi zilizoendelea lazima zisaidie kuchangia Chanjo kwa nchi za Afrika maana hazina uwezo wa kununua za kutosha wote. Ametumwa mapema kwa Rais mstaarabu Macron ili boss achanjwe aendelee kuishi wananchi masikini wakipukutika kwa madai kuwa anatumia mitishamba na Maombi. Rais wetu kwa kuomba hasa toka kwa mabeberu ni hodari sana yeye anamwomba mgeni yeyote anayekuja Tanzania, tabia ambayo wengi toka nje hawaipendi ndo maana miaka yote 5 hakuna Kiongozi wa mabeberu hata mmoja alikuja. Baniani mbaya lakini kiatu chake dawa!
 
Kuna vijana wa kitanzania bado wanaishi kwenye historia ya nyani kuwa watu , na siku zote wanaishi kwenye maisha yakusema yaani wenzetu wenzetu na mpaka kesho wanabishana hawaoni kama mtu mweusi anaweza chochote hadi sapoti ya mzungu laiti wote wangeweza kuwaza japo kwa mwaka tu kama Magu tungefika mbali sana.
Wewe ni nyani og
 
1613953148820.png
 
Hata internet ya mabeberu ina virusi vya kuwachunguza.

Mtaisusia mtengeneze yenu?
 
ni rais wa kipekee kweli, but kumulikwa na hivyo vyombo lazima uwe umefanya something extra ordinary?
inaweza kuwa extra foolish, extra bullshit, extra failure or extra success.

so our beloved president where does he fit?
Extra taahira
 
ni rais wa kipekee kweli, but kumulikwa na hivyo vyombo lazima uwe umefanya something extra ordinary?
inaweza kuwa extra foolish, extra bullshit, extra failure or extra success.

so our beloved president where does he fit?

Smart
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
Ilibidi wawe wamekuua,kwa jinsi wasitupenda ili wachukue Mali zetu
 
Huu mtindo wa uandishi unaitwa dhihaka, bahati mbaya sana wengi hawajamwelewa mtoa mada msomeni katikati ya mistari mtaelewa.

"tukiamka tu tunazikuta zipo madukani" "visit burigi -chato"
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
Kukaa Europe kwa miaka 10 tayari kumesha kufanya kuwa Mtumwa wa Wazungu,hata kwenu Africa Sasa hivi unapaona nyoso tu! Kweli slave minds hazitakuja kwisha kwa baadhi ya Wa Africa!!
 
Hiyo simu unatumia kaibuni mzungu, Rais wako vifaa vyote vya kumlinda kavitengeneza mzungu hata nguo na viatu katengeneza mzungu, hafu amauhofia hahhaaaa, shule kasoma ya mzingu usije ukakuta hata boxer kavaa ya mzungu
Na Malighafi ya kutengenezea hivyo vitu ulivyotaja zimetoka Africa,kwa hiyo ni swala la muda tu Wazungu watatusikia bombani!!
 
IGNORANCE, UMBUMBU wa fikra......
"Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani" inaonesha ni kwa kiasi gani ulivyo na elimu duni.
Unahitaji kufikiria zaidi ya hapo kumuelewa muandishi wa hii thread.
Isome tena halafu itafakari utamuelewa vizuri.
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
Inategemeana ulikua wapi na unafanya nini Europe, wazungu wengi ni mbumbu pia.

Unahitaji kuosoma tena hii thread ili uielewe vizuri
 
HIV virus awekwe kwenye Barakoa? Yaani HIV virus aishi nje ya blood cells?
Haya ni maajabu aisee.
 
nashangaa watu kama hawa mawazo sijui wanatoa wapi.
kuanzia mahospitalini, jeshini, bungeni tunatumia vitu vya mabeberu.

unajua hizi ni propaganda za kiongozi aliefeli kuudhibiti huu ugonjwa halaf anasingizia wazungu.
Vifaa vyote vya kitabibu tunatoa kwa hao mabeberu, Arv , dawa za Tb zote kwa mabeberu tena kwa hatipunguzo,
Kuna baadhi ya scenario nadhani mabeberu wanatusoma na kushangaa tumebeba nini vichwani mwetu , maana sio akili ya kawaida.
 
Wengi wamekurupuka kumfokea mleta mada wakati yeye kamkejeli JPM kwa akili
 
Hata internet ya mabeberu ina virusi vya kuwachunguza.

Mtaisusia mtengeneze yenu?
Kutengeneza mbali sana , benki na taasisi kadhaa huwa zinazingua network na kazi hazifanyiki kwa masaa kadhaa hata masiku , kisa mtandao , IT experts wanaishiwa clue kwenye ku supervise tu system , ndo tutaweza kutengeneza internet?
Mabeberu watakuwa wanatuangalia kwa dharau sana ,
 
Back
Top Bottom