Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

IGNORANCE, UMBUMBU wa fikra......
"Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani" inaonesha ni kwa kiasi gani ulivyo na elimu duni.
Umeshindwa kung'amua hoja ya mwandishi wa uzi?!! Uwezo wako wa kutafakali ni mdogo kama mbegu ya haradani!!
 
Post zingine zinachefua hadi mtu unajuta kuzaliwa Tanzania. Kweli wapumbavu hawana aibu.
Tujipe tuu malengo,kuwa tunahitaji fursa ya kuendeleza viwanda cya ndani na kukuza uchumi wetu,kwani hatuwezi kushindana na dunia ilishatuacha Sana,tuache visingizio vyepesi vyepesi.
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Kaa kimya maana hata hizo kemikali mnazotengenezea madawa ya maleria hapo pugu road mnazitoa kwao
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
Labda mimi ndiye nimemuelewa tofauti
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Akili ni kitu kizuri Sana Kama utajaliwa kua nayo.
Lakini usipojaliwa kua nayo hata kuishi duniani ni mzigo mzito Sana.
Ivi umewahi kufikiria kua katika Tanzania yetu hii tunakiwanda Cha kutengeneza hata dawa ya Aina yoyote ya chanjo?
Wewe,Mama yako,Baba yako,watoto wako,wote mkijiangalia kwenye bega utaona unachata ya chanjo.
Je hizi chanjo huyu magufuli ndie Alie zitengeneza hapa Tanzania?
Dawa hizi zote wanawake wanachoma za sindano za uzazi wa mpango magufuli ndie anezitengeneza?
Hawa mabeberu wakiamua kuwamaliza si wanaanza na watoto wenu wa changa wanapozaliwa tu wanapewa chanjo za mabeberu?
Hakuna chanjo haitoki kwa mabeberu,chanjo zote zinatoka kwa mabeberu.
Kama Hawa watu wanataka kutuua kwa ajili ya barakoa tungeshakufa wote,maana hata madactari like hospitalini wanavaa hizohizo barakoa za mabeberu,hata kabla ya korona.
Kua na Akili sio lazima uzaliwe nayo,
Akili unaweza kua nayo ata kwa kuona au kujifunza.
 
Mabeberu nadhani ni hao wanatupa misaada ya net kwa kina mama wajawazito, ARV na kondom. Sijui kama wanataka kutumaliza wanashindwaje kutumia hizo
Mabeberu ni kina nani? mbona hamuwi wazi mnajificha ficha kuwa direct ni nchi flan inatupiga vita
Pili virusi vya corona vina kaa mda gan kwenye barakoa mpaka vinasafiri na kufika ni mda gana tuwe waz sina utaalamu huo ila najua wataalam watakuja kutueleza
 
Wakilenga kuangamiza wanafanyia maandalizi. Zinatoka. kuwekewa corona na zinaletwa kwa ndege siku hiyo hiyo. Hapo vibaraka washaandaliwa kugawa Kama msaada!!
Stupid thinking kabisa. Mtu gani anawezafanya hujuma kitoto namna hiyo?
 
Wewe jidanganye tu.

Hivi vitu vinavyozungumzwa kwa ujumla ujumla kabisa havina mashiko.Ni vizuri ili kuthamanisha chochote kama hiki unachoongea weka data hapo.Research uliyofanya leta hapa.Kwa mfano ni vizuri hao TBS ambao pia mimi siwaamini
waniambie au watuambie WaTz ni barakua za nchi gani zina virus na ziliingiaje nchini na test yake imefanyika wapi.Na aliyeziingiza amechukuliwa hatua gani na kama ni kutumaliza tumeshaisha kwa kuwa tumezitumia since last covid 19,

Watanzania sisi sio watu wa kula makapi kila mara.

Tunaambiwa tuvae barakoa tutengeneze wenyewe je zina ubora unaotakiwa kwa upumuaji au unavaa barakoa ya kitenge unashindwa kupumua na hata kuvuta hewa.Kuna kitu kinaitwa Ventilation.

Akili za kuambiwa,changanya na zako.Usiende tu kama pimbi.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kukaa Europe kwa miaka 10 tayari kumesha kufanya kuwa Mtumwa wa Wazungu,hata kwenu Africa Sasa hivi unapaona nyoso tu! Kweli slave minds hazitakuja kwisha kwa baadhi ya Wa Africa!!
Ni bora kuwa a slave kwa watu ambao wanajua siku ina masaa 24 kuliko kuishi mwenye nchi ambayo wanajua siku ina masaa 48 na ukivaa barakoa kwenye mikusanyiko ya watu huivui unashinda nayo unalala mayo!!
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Wewe ni mjinga mkubwa
 
vita vya kiuchumi "blaza". ni wivutu. wameshaona maendeleo yetu ni ya kasi sana. wameanza kuogopa.
yaani waogope maendeleo yetu? gap walilotupiga itachukua muda sana kuja kuwafikia. thus wao wako kwenye upper levels nchi kama yetu haiwatishi.
wao wanapambana na super powers wenzao.. sio sis.
sioni sababu ya kumdhoofisha mtu ambae umempiga gap kubwa sana kinaendeleo
 
Punguza ufinyu wa fikra wa kufikiri kila kitu kizuri kinatoka kwa WAZUNGU shame on you mate......................
Hebu acha kutukana watu kwa hoja zako za kijinga na mtazamo wa kishamba!

Hapo ulipo naamini umevaa...katika ulivyovaa niambie ulichotengeneza ambacho hakikutengenezwa na mzungu?

Hebu acheni hoja za kibaguzi ambazo hazisaidii chochote. Mnawaattack wazungu kwenye jukwaa ambalo wahana nafasi ya kujibu...unfair kabisa!
 
Akili ni kitu kizuri Sana Kama utajaliwa kua nayo.
Lakini usipojaliwa kua nayo hata kuishi duniani ni mzigo mzito Sana.
Ivi umewahi kufikiria kua katika Tanzania yetu hii tunakiwanda Cha kutengeneza hata dawa ya Aina yoyote ya chanjo?
Wewe,Mama yako,Baba yako,watoto wako,wote mkijiangalia kwenye bega utaona unachata ya chanjo.
Je hizi chanjo huyu magufuli ndie Alie zitengeneza hapa Tanzania?
Dawa hizi zote wanawake wanachoma za sindano za uzazi wa mpango magufuli ndie anezitengeneza?
Hawa mabeberu wakiamua kuwamaliza si wanaanza na watoto wenu wa changa wanapozaliwa tu wanapewa chanjo za mabeberu?
Hakuna chanjo haitoki kwa mabeberu,chanjo zote zinatoka kwa mabeberu.
Kama Hawa watu wanataka kutuua kwa ajili ya barakoa tungeshakufa wote,maana hata madactari like hospitalini wanavaa hizohizo barakoa za mabeberu,hata kabla ya korona.
Kua na Akili sio lazima uzaliwe nayo,
Akili unaweza kua nayo ata kwa kuona au kujifunza.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Sawa ila mabeberu wakija kutalii tuwapokee kwa mikono 2
 
nashangaa watu kama hawa mawazo sijui wanatoa wapi.
kuanzia mahospitalini, jeshini, bungeni tunatumia vitu vya mabeberu.

unajua hizi ni propaganda za kiongozi aliefeli kuudhibiti huu ugonjwa halaf anasingizia wazungu.
mkuu unaweza tutajia kiongozi ambaye amesha uzibiti huu ugonjwa
 
Tu
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Tukatae na condomu
 
Watafaidikaje sisi tukifa?
Maendeleo yetu ya kasi yatawaathiri wao vipi?
aaaahrgh mabeberu utawaweza ndugu yangu. hawapendi tu kutuona wana wasiwasi sana na kasi ya maendeleo yetu. so wanaona ni bora tufe tu wabaki wenyewe wagawane nchi zetu. mengine mi siyajui ngoja Mh Rais akisema maana yeye ana taarifa nyingi sana. anajua hata wanayotuwazia wale mbuzi manyang'au kabisa.
 
Back
Top Bottom