Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Akili ni kitu kizuri Sana Kama utajaliwa kua nayo.
Lakini usipojaliwa kua nayo hata kuishi duniani ni mzigo mzito Sana.
Ivi umewahi kufikiria kua katika Tanzania yetu hii tunakiwanda Cha kutengeneza hata dawa ya Aina yoyote ya chanjo?
Wewe,Mama yako,Baba yako,watoto wako,wote mkijiangalia kwenye bega utaona unachata ya chanjo.
Je hizi chanjo huyu magufuli ndie Alie zitengeneza hapa Tanzania?
Dawa hizi zote wanawake wanachoma za sindano za uzazi wa mpango magufuli ndie anezitengeneza?
Hawa mabeberu wakiamua kuwamaliza si wanaanza na watoto wenu wa changa wanapozaliwa tu wanapewa chanjo za mabeberu?
Hakuna chanjo haitoki kwa mabeberu,chanjo zote zinatoka kwa mabeberu.
Kama Hawa watu wanataka kutuua kwa ajili ya barakoa tungeshakufa wote,maana hata madactari like hospitalini wanavaa hizohizo barakoa za mabeberu,hata kabla ya korona.
Kua na Akili sio lazima uzaliwe nayo,
Akili unaweza kua nayo ata kwa kuona au kujifunza.
wewe unawezaje kumbishia mkuu wa nchi? acha ujuaji wewe. rais anajua kila kitu. akisema amesema.acha ubishi shauri yako.
 
Wewe kweli chizi maarifa
aaaahrgh mabeberu utawaweza ndugu yangu. hawapendi tu kutuona wana wasiwasi sana na kasi ya maendeleo yetu. so wanaona ni bora tufe tu wabaki wenyewe wagawane nchi zetu. mengine mi siyajui ngoja Mh Rais akisema maana yeye ana taarifa nyingi sana. anajua hata wanayotuwazia wale mbuzi manyang'au kabisa.
 
Ni bora kuwa a slave kwa watu ambao wanajua siku ina masaa 24 kuliko kuishi mwenye nchi ambayo wanajua siku ina masaa 48 na ukivaa barakoa kwenye mikusanyiko ya watu huivui unashinda nayo unalala mayo!!
Basi kwa taarifa yako hakuna watu wachafu Kama hao Wazungu! Wao ni mapafyumu na manukato kwa wingi sana Kama waarabu, kwenye harufu ya manukato ndiyo wanaficha uchafu wao! Nakuambia kwa sababu nilisha date sana na Wazungu hamna kitu mule,kula kitu Cha ki Africa ndiyo utaelewa namaanisha nini!!
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k

Sio kila kitu kulalamika na mashindano. Watu wanakufa wote Dunia hii ni binadamu na huu ugojwa hauchagui nchi, rangi, bara wala uchumi wa nchi hivyo ni ajabu mambo tunayo ongelea. Hii inaonyesha utamaduni wetu wa kusingizia kila kitu tuweke tabia ya kutatua matatizo badala ya kusingizia.
 
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Hivi jamani kila mnachoambiwa na Rais mnakubali tu bila ya kufikiri, kuwaza na kujiuliza kama mlichoambiwa kuwa ni kweli au ni uongo? Hivi wewe umekaa kitako na kujiuliza ni muda gani virus wa covid 19 anaweza kuishi katika barakoa? Umejaribu angalau kusoma na kujua virus wa covid anaweza kuishi kwa muda gani katika hewa? Unajua ni katika mazingira gani covid virus anaishi na kwa muda gani anaweza kuwa hai katika sehemu mbali mbali kama vile nguo, meza, mlango n.k? Amka ndugu yangu, toa chongo machoni na kuwa na tabia ya kujielimisha.
 
Wakilenga kuangamiza wanafanyia maandalizi. Zinatoka. kuwekewa corona na zinaletwa kwa ndege siku hiyo hiyo. Hapo vibaraka washaandaliwa kugawa Kama msaada!!
Unajua ni muda gani corona virus anaweza kubaki hai nje ya mwili wa binaadamu? Unajua ni katika temperature gani corona virus anaweza kusalia kwa muda mrefu. taarifa zako za kuwekewa corona barakoa umezipata wapi?
 
Unaweza kuta huyu nae n kigogo mkubwa tu serikarini...!!
 
Back
Top Bottom