Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu...kwa sisi mabachela hapa tunapata pilau safi kabisa..nimekula kwa Mara ya kwanza nikaongeza sahani ya pili imebidi niifunge maana nilijiaona sijashiba kabisa..halafu so kula sahani mbili hapohapo.
Sina uhakika umati huu wote wanaokula ni kweli mabachela au nyumbani msosi wa hovyo.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Sina uhakika umati huu wote wanaokula ni kweli mabachela au nyumbani msosi wa hovyo.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app