Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Noted champ, japo nisha mzoea dah
 
Dawa mtafutie mwenzake. Usihangaike na mwanamke muache yy ndio ahangaike na ww
 
Baba hmn rangi tutaacha ona mzee mimi wangu nishazoeaa saiv mida ya usiku na asubuhii nikipiga simu nayoyahisi ni mulemule kuna namna napigwa tukio ila namvutia tu kasi naenda kuwa huru sasa baada ya utumwa wa muda mrefu ila ase tukatae ndoa wallah
 
Hivi siku ukifa utakuwa unamlinda hivyo hivyo? Kumbuka hata mbinguni hakuna kujuana iwe mke au mume. Muache mwenzako apumue
 
bambalaga ipo maeneo gani mkuu?
nata niingie domu now
Hakuna mtu hajui bambalaga masta ipo mjini, kuna viwanja kama vitatu vinne nna uhakika ukizunguka hutamkosa kama unajua anapenda kwenda viwanjani na kama umejua kazi aloendea, dodoma wanaliwa watumish masta daah malodge daily yamejaaa, nikiwa naenda napigaga simu niwekewe room kabisa sababu huwa kuna uwezekano wa kukosaaa
 
C
hukua neno (mapenzi ya kizamani) this means ulishatemwa zamani na sasa ana chombo kipya.

Kama unabisha nipe kazi ya ikachero nikujulishe wapi aliko ma yuko na nani😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…