Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #41
tumefunga ndoa mimi na yeyeHivi siku ukifa utakuwa unamlinda hivyo hivyo? Kumbuka hata mbinguni hakuna kujuana iwe mke au mume. Muache mwenzako apumue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumefunga ndoa mimi na yeyeHivi siku ukifa utakuwa unamlinda hivyo hivyo? Kumbuka hata mbinguni hakuna kujuana iwe mke au mume. Muache mwenzako apumue
doh! kitu mapenziPolee mkuu
atakuwa yuko wapi mkuu?😀 😀 😀 😀 😀 😀 we zombi, haujui??
Kwa simba la masimba dangoteatakuwa yuko wapi mkuu?
Uko tayari aache kazi?hata sijui nikashtaki nn, nachotaka wife arudi nyumbani
Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
hapana chief, ni huyu nilie muweka ndani
what can i do?Tatizo chai zimekuea nyingi sana humu...ila kama hii sio chai , wewe ni mwanauem wa pekee..sisi wanaume wa Kiswahili kesi kama hizi huwa hatuombi ushauri ..we do the needful!
mkuu uttoh acha tuWewe ndo mwanaume U wewe ndo mke? Maana sioni kama kuna mwanamme angeweza mthubutu mtu kama mimi halafu nije lia huku.
bunge la kichwa changu linasita kufanya maamuzi, nimezimika kwa wifeOya simba la masimba hilo wazee wa kula mifupa, oya kama kweli babu fanya maamuz atakuzoea vibaya huyo
duh mwenzake inakuwa mchana inakuwa usiku yani sipati usingiziUsimuwazie negative mkuu amini ametingwa au ana changamoto ilio nje ya uwezo wake!
Hawa watu ni shida kama hujaoa kwa kweli jiulize sana mana mkeo ni mke wetu pia...aweza kuwa ana utii na heshima kwa hawara kuliko wewe mume...Mke wako anakua na mume wa kazini na inajulikana kabisa wafanyakazi wote wanajua yaani Ndoa ni Janga kubwa sana....Tena unakuta marafiki za mkeo wanajua na mpaka wana comtact za michepuko ya mkeo na wanakuchora tu..Dawa ni unyama marafiki wa mkeo wapelekee moto ili wakusaidie kukuambia habari zake la sivyo .Usioe mana wanawake unapata hao hao wake za watu na mpaka anakuzalia sasa shida nini??Wale waliokuwa “bado hawajaoa wanazidi kujifunza”
Msome kuelewa ili mjue mnajifunza nini kutokana na scenario wanazokutana nazo kaka zenu waliooa wafanyakazi wakiamini watasaidiana maisha.
haujui, daahWe zombiii 😂
Akirudi apitilize kwao
Ngoja akirudi au akikutafuta umsikie anasemaje!duh mwenzake inakuwa mchana inakuwa usiku yani sipati usingizi