Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Kulikuwa na haja gani ya kuweka kipande cha wimbo uliousikia wakati unapiga simu Mkuu? Lols

Lakini wala sikucheki, mi pia niko hivyo asipopatikana hapakaliki.
Huna kosa, uko sahihi na mwenzio kwakuwa ameshakujua anapaswa kujiweka ktk mazingira ya kukupa amani.
Nikimaanisha mawasiliano imara, kila wakati.
Nifah kumbe mambo ndo moto [emoji91][emoji91][emoji91] hivyo acha nimsubiri Hawa wangu amaliziwe kuumbwa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.

Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.

Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.

Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Hapo si kila kitu kipo wazi.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuweka kipande cha wimbo uliousikia wakati unapiga simu Mkuu? Lols

Lakini wala sikucheki, mi pia niko hivyo asipopatikana hapakaliki.
Huna kosa, uko sahihi na mwenzio kwakuwa ameshakujua anapaswa kujiweka ktk mazingira ya kukupa amani.
Nikimaanisha mawasiliano imara, kila wakati.
maumivu anayonipa huyu wife dah
 
Back
Top Bottom