Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #101
daah chief ,sitaki kuaminiAnatombwa moja kwa moja hakuna kumungunya maneno, hakuna sehemu wake za watu wanaliwa kama dodoma hasa kipind hich makao makuu yamehamia huko, namshauri bwana robertinho arud kwao atakufa kwa pressure
Hii ni Hance Mtanashati
ahsante mama, nimeupokea ushauriNi netiweki tu mwanangu, atarudi
@dronedrakeWale waliokuwa “bado hawajaoa wanazidi kujifunza”
Msome kuelewa ili mjue mnajifunza nini kutokana na scenario wanazokutana nazo kaka zenu waliooa wafanyakazi wakiamini watasaidiana maisha.
Ukweri usemwe (in the late MAGUFULI’S voice), au nasema uwongo ndugu zangu ?daah chief ,sitaki kuamini
sahihi mkuuUkweri usemwe (in the late MAGUFULI’S voice), au nasema uwongo ndugu zangu ?
Ujue bora ukweli mchungu kuliko uwongo mtamu, ndugu zake ricky boy hawawez kumuacha na kimasihara zaosahihi mkuu
Mkiambiwa mke mahala pake ni nyumbani kulea mnabwatuka ooh hayo mambo za kizamani sasa hivi maisha kusaidiana. Ok tulia wanaume wakusaidie kukiputa.Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
nitakujibu vizuri nikifika, muda huu niko safarini naelekea dodomaMkiambiwa mke mahala pake ni nyumbani kulea mnabwatuka ooh hayo mambo za kizamani sasa hivi maisha kusaidiana. Ok tulia wanaume wakusaidie kukiputa.
Na atatombm.bwa kishenzi wiki hii na chakufanya hauna. Au unadhani utamfanya nini ?!
Ukifa mbinguni hakuna kutambuana. Na ukifa ndiyo atagongwa, muache awe hurutumefunga ndoa mimi na yeye
inauma chief, hii ni lesson na kwa wengineHivi mnaoa mwanamke msomi af usikutane na hizi tabia za kutombewa? Mwanamke msomi sio wakuoa
sahihi madam ,tatizo mazoeaUkifa mbinguni hakuna kutambuana. Na ukifa ndiyo atagongwa, muache awe huru
sikuyajua haya chiefTuliwaonya msioe wanawake wenye mishahara hamkusikia.
Ukimkaripia mshahara wake ndio kinga yake
Wanawake wenye mishahara wanaliwa sana na workmates wenzao na clients
Chawa wa mama wewe safari yako lini kuja hapa Dom ?Ukifa mbinguni hakuna kutambuana. Na ukifa ndiyo atagongwa, muache awe huru
depression is real!Kuna ushauri usije kuomba humu...unawezaa kufanyaa maamuzi sio sahihi
Kama vipi anza upyasikuyajua haya chief
ngumu sanaKama vipi anza upya