Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Tupo nae babalaga tunakuka vyombo mkuu wewe tulia tu yupo mikono salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuoa kihalali au sogea tuishi?sikuyategemea haya kutoka kwake
nitampata kwa njia yoyote,hata babu yangu wa newala atanisaidiaTupo nae babalaga tunakuka vyombo mkuu wewe tulia tu yupo mikono salama
sahihi chiefAhahahah.
Yan hapo mimi ningecheka tu halaf nakausha kimya.
Sitampigia simu, nitatulia tu kwakua sina uthibitisho lakin hapo najua 98% washamtombea mtu so sina ujanja.
Akirud home, ni a matter of time tu, ataondoka mwenyewe kwenda ambako ataona patamfaa ila habar yetu mimi na yeye ndio itakua ilikomea pale kwenye "we zombi, haujui, na simba la ma simba dangote" 😂😂.
NB.
Msiwachukulie wanawake serious. Yan usiwapende kiviiile ... kama ni mkeo, acha mapenz ya kihind, ishi nae normal tu sio lazima mapemz yale ya maigizo, muwekee clear itaratib wako, akikiuka ni nje ya mfumo anaenda haina kuremba.
Mwanamke anapswa kukutii na kuwa na adabu, hawezi bas hamuwezani
official marriage ,Umemuoa kihalali au sogea tuishi?
Kuna jambo umemfanyia hutaki kuliweka wazi. Na kama uliwahi kumcheat hivi karibuni na akagundua..mwenzio yupo kwenye kulipiza kisasi.official marriage ,
its so sad madam,niko hopeless
Achana naye na wewe mkaushieofficial marriage ,
its so sad madam,niko hopeless
Noted, sijawahi msaliti.Kuna jambo umemfanyia hutaki kuliweka wazi. Na kama uliwahi kumcheat hivi karibuni na akagundua..mwenzio yupo kwenye kulipiza kisasi.
Mchunie usimtafute, akirudi endelea kuuchuna kuwa busy na mambo yako. Utaona atakavyohangaika.
tumebahatika kupata watoto wawili chiefAchana naye na wewe mkaushie
Kama story yako ni ya kweli unachosema,Acha kujiumiza kumfikiria
Ova
😅😅😅😅 huna kazi ya kufanya wewe, acha uboya geuza urudinitakujibu vizuri nikifika, muda huu niko safarini naelekea dodoma
Duh basi wewe ni wa kipekee ujengewe sanamuNoted, sijawahi msaliti.
nibo kibaigwa saizi😅😅😅😅 huna kazi ya kufanya wewe, acha uboya geuza urudi
Mwanamke huwa hapendwi,mwanamke huwa anathaminiwa kadiri anavyozidi kukupendeza kwa jinsi anavyoenda ktk njia uliyokuwa unaitaka wewe.yote yawezekana , mm nachojua nampenda sana
Shuka hapo kanunue gunia la mahindi urudi nalo nyumbaninibo kibaigwa saizi
Wewe Cha msingi nenda huko huko dodoma usiku wa mananeNdugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
watoto wakiuliza Baba yuko wapi mama! nitajibu nini?Shuka hapo kanunue gunia la mahindi urudi nalo nyumbani
yaah ndugu yangu. kuna rafiki zangu pale domu wataanza kumsaka usiku, wengine mpaka usiku wa mananeWewe Cha msingi nenda huko huko dodoma usiku wa manane
Mfuate alipo uweze kuujua ukweli. Nenda alipo bila taarifaNdugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Unajua amelala hoteli Gani?Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!