Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwani si amesafiri kikazi?watoto wakiuliza Baba yuko wapi mama! nitajibu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si amesafiri kikazi?watoto wakiuliza Baba yuko wapi mama! nitajibu nini?
nipo kibaigwa muda huu chief, naelekea domuMfuate alipo uweze kuujua ukweli. Nenda alipo bila taarifa
Jambo la msingi unatakiwa ufahamu analala hoteli Gani,yaah ndugu yangu. kuna rafiki zangu pale domu wataanza kumsaka usiku, wengine mpaka usiku wa manane
Hapo kwenyewe sasa na usiwe na haraka mpaka ukamate evidencenipo kibaigwa muda huu chief, naelekea domu
nitajua huko huko chief, naanzia kwenye taasis yake iliyopo hapo domuUnajua amelala hoteli Gani?
I'lo wazo zuri ,badilisha mwonekano wa mavazi yako ikiwezekana piga muwani au kanzu na balakashianipo kibaigwa muda huu chief, naelekea domu
tuliwazoesha watoto kuongea nasisi tunapokuwa mbali kupitia normal call even whatsapp.Kwani si amesafiri kikazi?
We baba vipi? Waambie watoto kwamba mama alipo kuna shida ya network.tuliwazoesha watoto kuongea nasisi tunapokuwa mbali kupitia normal call even whatsapp.
siku kadhaa hizi, wanamtaka mama yao .ndio hivo wife hatoi ushirikiano
noted chiefKama utamkamata mgoni kuwa na subira
Ni hatari sana mpigie Kwa namba ngeni,mara nyingi wake za watu wakichepuka Huwa wanazima simutuliwazoesha watoto kuongea nasisi tunapokuwa mbali kupitia normal call even whatsapp.
siku kadhaa hizi, wanamtaka mama yao .ndio hivo wife hatoi ushirikiano
u dont feel what im going through!We baba vipi? Waambie watoto kwamba mama alipo kuna shida ya network.
hapokei, nimeanza kuhofia hata usalama wake.Ni hatari sana mpigie Kwa namba ngeni,mara nyingi wake za watu wakichepuka Huwa wanazima simu
Nafeel..lakini unatakiwa kuwaweka watoto sawa no matter what.u dont feel what im going through!
HUfahamu anapofanyia kazi? Wasiliana naohapokei, nimeanza kuhofia hata usalama wake.
nitafanya hivyo madamNafeel..lakini unatakiwa kuwaweka watoto sawa no matter what.
Hutakiwi kuwafanya wahisi kama kuna jambo halipo sawa. Utawaathiri kisaikolojia.
nina namba ya rafiki yake wa kike, kwa sasa yuko likizo. siku taka kuuliza sana nachotaka nikumrudisha home wife akiwa salamaHUfahamu anapofanyia kazi? Wasiliana nao
Kabisa mkuu, yaani wewe kama baba boss wa familia, mdhamini kuu, dipromati mkuu wa familia unapiga simu hapokei hapo kavuka red lineAhahahah.
Yan hapo mimi ningecheka tu halaf nakausha kimya.
Sitampigia simu, nitatulia tu kwakua sina uthibitisho lakin hapo najua 98% washamtombea mtu so sina ujanja.
Akirud home, ni a matter of time tu, ataondoka mwenyewe kwenda ambako ataona patamfaa ila habar yetu mimi na yeye ndio itakua ilikomea pale kwenye "we zombi, haujui, na simba la ma simba dangote" [emoji23][emoji23].
NB.
Msiwachukulie wanawake serious. Yan usiwapende kiviiile ... kama ni mkeo, acha mapenz ya kihind, ishi nae normal tu sio lazima mapemz yale ya maigizo, muwekee clear itaratib wako, akikiuka ni nje ya mfumo anaenda haina kuremba.
Mwanamke anapswa kukutii na kuwa na adabu, hawezi bas hamuwezani
Mwenzako hajamaliza kazi iliyo mpeleka.nina namba ya rafiki yake wa kike, kwa sasa yuko likizo. siku taka kuuliza sana nachotaka nikumrudisha home wife akiwa salama