Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Brother mbona PovuYule star mwenye miguu ya dhahabu amegonga 26 wanayanga mpo wapi tumpongeze kijana wwtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 978620
Boban mwenye ndoto za kucheza soka kimataifa alicheza mchezo wake wa kwanza akiwa na jezi ya young African sc dhidi ya tukuyu
Haya ajibu jiandae kusugua benchi
Brother mbona Povu
?
Huwenda mtoa mada anatania.Yaaani tangu nianze kumsikia Huyu Bobani bado ana 26? nilikuwa mdogo saivi nimemzidi miaka yeye yupo pale pale tu, au yaleyale ya akina Wema sepetu kila mwaka yeye ana 23 tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe bado kinda kabisa...
Nasikia Okwi juzi ndio kagonga 25!!??
Hivi ule wimbo wa "forever young" kaimba nani wandugu!?.
[emoji3][emoji3][emoji3]Jei zi wewe huoni hata yeye miaka nenda rudi ni young!.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli kabisa mkuu,jamaa miaka inaenda ila yupo kama juzi.
Yaaani tangu nianze kumsikia Huyu Bobani bado ana 26? nilikuwa mdogo saivi nimemzidi miaka yeye yupo pale pale tu, au yaleyale ya akina Wema sepetu kila mwaka yeye ana 23 tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mimi nikianza soka leo watasema nina 17.
Yaaani tangu nianze kumsikia Huyu Bobani bado ana 26? nilikuwa mdogo saivi nimemzidi miaka yeye yupo pale pale tu, au yaleyale ya akina Wema sepetu kila mwaka yeye ana 23 tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe bado kinda kabisa...
Nasikia Okwi juzi ndio kagonga 25!!??
Hivi ule wimbo wa "forever young" kaimba nani wandugu!?.
Watanzania tunatabia ya kuwezeesha wachezajibwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji40][emoji40][emoji40]We usipunguze miaka[emoji23] boban hajapunguza
Ila nadhani mtoa mada ametania.
Haruna Moshi nimemchora sana kwenye daftari langu la stadi za kazi eti lao hii ana umri karibia na mimi! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Aibu mimeona mimi