Happy 26 haruna moshi aka boban

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee kuliko njomba ngasa[emoji1][emoji1]
Ndugu Uncle ni mdogo kwa brother Erasto. Yaani mi nlvokuwa na 17 yrs erasto alikuwa ni wale ma bro wanacheza ndondo tena ile ya uswazi ambapo sisi tulikuwa tunasema timu ya mabrother zetu,hata mazoezi tulikuwa hatuwezi Fanya nao. Leo Mimi Nina 32 yeye anasema ana 30
 
Wewe unamjua erasto? Au unazungumzia nini bwana mdogo
 
Boban angalia namba yake mgongoni aliyoamua kuvaa baada ya kutua Yanga utaelewa umri wake kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…