Kama unamjua mtaje in.... Voice πππππππ nimecheka hapa. Kumbe unavituko hivyo eeh Tayukwa jamani ni pipi kijiti za watoto tu. Sema leo nimeanza wine kabisa. Aliyeninunulia pipi simtaji hapa Tonnia anamjua π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ au safari ya Zanzibar tutanyimwa? π π π π π
Jamani kwani hata tumepeana sasa ewe mwandamizi! Si nashangaa tu kwa nini apokee pipi kwa mtu mwingine wakati hilo jukumu umenikabidhi mimi? Antonnia hili ndilo linaniumiza kwa huyu Bantu LadyWee Tayukwa na Bantu Lady namie mnitafutie wa kunipa pipi kijiti kwaniii msintanieeee !!
Haiwezekani mpeane pipi pekeenu rafiki yenu nimezubaa tyuu hapaaaππππ,!
Jamani kama wine si bora mkanywe Zanzibar zile za laki na nusuChizi unajua wewe mtoto πππππ huyu rafiki Tayukwa sijui jana alikuwa wapi. Leo anakuja na mambo ya pipi ya kijiti. Alikimbia jukumu la cake nini? Hatuli pipi kijiti sisi atoe mawine hapa.
Msomeshe aelewe somo mkuu unaniangushaa ujueee!! Sijui unakwama wapiii lol!! Bantu Lady mfikirie Tayukwa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ππ!Jamani kwani hata tumepeana sasa ewe mwandamizi! Si nashangaa tu kwa nini apokee pipi kwa mtu mwingine wakati hilo jukumu umenikabidhi mimi? Antonnia hili ndilo linaniumiza kwa huyu Bantu Lady
Itakuwa Tonnia hajafanya kazi yake vizuri. Ukawahiwa πππππJamani kwani hata tumepeana sasa ewe mwandamizi! Si nashangaa tu kwa nini apokee pipi kwa mtu mwingine wakati hilo jukumu umenikabidhi mimi? Antonnia hili ndilo linaniumiza kwa huyu Bantu Lady
Akinichomolea na hapa haki ya mungu naandamanaMsomeshe aelewe somo mkuu unaniangushaa ujueee!! Sijui unakwama wapiii lol!! Bantu Lady mfikirie Tayukwa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ππ!
Shida gate limefungwa na kufuli limeingia kutu, sijui itakuaje sasa Tonnia mrembo wangu.Msomeshe aelewe somo mkuu unaniangushaa ujueee!! Sijui unakwama wapiii lol!! Bantu Lady mfikirie Tayukwa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ππ!
Jamani basi fanya kama unakosea hiviItakuwa Tonnia hajafanya kazi yake vizuri. Ukawahiwa πππππ
Maua yako yapo njiani anakuletea shamba boy wako. ππ€£πUsindamaneee buanaa ngoja nimpange aelewe somoo!ππ
Mwenyewe yupo hapa hapa fanya kumbembeleza anipeHivi kweli kabisa ile namba ndio ulinikomalia kunipa ππ
Si wanasema hata ukilikojolea mkojo hilo kufuli linaachiaShida gate limefungwa na kufuli limeingia kutu, sijui itakuaje sasa Tonnia mrembo wangu.
Uwiii Tonnia, Tonnia, Tonnia ππππππ nimekuita mara 3 πππππUsijareee Namba ya murembo alisema atakutumia mwenyewe mkuu