Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka hapa. Kumbe unavituko hivyo eeh Tayukwa jamani ni pipi kijiti za watoto tu. Sema leo nimeanza wine kabisa. Aliyeninunulia pipi simtaji hapa Tonnia anamjua πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ au safari ya Zanzibar tutanyimwa? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kama unamjua mtaje in.... Voice πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wee Tayukwa na Bantu Lady namie mnitafutie wa kunipa pipi kijiti kwaniii msintanieeee !!
Haiwezekani mpeane pipi pekeenu rafiki yenu nimezubaa tyuu hapaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Š,!
Jamani kwani hata tumepeana sasa ewe mwandamizi! Si nashangaa tu kwa nini apokee pipi kwa mtu mwingine wakati hilo jukumu umenikabidhi mimi? Antonnia hili ndilo linaniumiza kwa huyu Bantu Lady
 
Jamani kwani hata tumepeana sasa ewe mwandamizi! Si nashangaa tu kwa nini apokee pipi kwa mtu mwingine wakati hilo jukumu umenikabidhi mimi? Antonnia hili ndilo linaniumiza kwa huyu Bantu Lady
Msomeshe aelewe somo mkuu unaniangushaa ujueee!! Sijui unakwama wapiii lol!! Bantu Lady mfikirie Tayukwa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 😊😁!
 
Itakuwa Tonnia hajafanya kazi yake vizuri. Ukawahiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Weee usintanieeee ujueeee hakuna kama Tayukwa ujuee utani huoo😁😁😊!
Usinkoseshe kwenda Zanzibar mieee😁😁😊😊
 
Back
Top Bottom