Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Ilinikuta hii mwakaleli high school mbeya!!

Nilimkimbiza second masta na fyekeo hata nisahau.

Baada ya hapo nikafukuzwa nikakata rufaa kwa mkuu wa mkoa then nikaambiwa nije siku ya pepa
😅😅😅😅 namnaaa hii ndio inatakiwaaa . matoto ya siku hizi hayawezi hizo vurugu... ungemla kabisa kichwaa huyooo teacher akabaki anauguza hata jeraha
 
Ilinikuta hii mwakaleli high school mbeya!!

Nilimkimbiza second masta na fyekeo hata nisahau.

Baada ya hapo nikafukuzwa nikakata rufaa kwa mkuu wa mkoa then nikaambiwa nije siku ya pepa
Mwaka jana kuna form 4 alimbambia akampa alimpa vitasa mwalimu wa field !! Nae Alikuja kwenye pepa tu wanafunzi mna mabalaa sana nyie!!
 
Ankol na chino walikuwa wakorofi sana. Kufundisha watoto wa kiume ni shughuli. Hawachelewi kupiga.
Nyie mshendwweeee kwanii🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️!!😁😁😁!!
Trena mtreketrezeeeeeeee Kabesaaa;😂😂

Haya maisha hutakiwa kuishi kizembe zembe 🤣🤣🤣 sasa hivi tunapiga matukio mahala ambapo ni prohibited 😅😅😅😅 sema kwa akili . lazima tuishi kwa michaka michakaaa kama kambini . sio kizembe zembe
 
😅😅😅😅 .. walimu lazima wakuogope , ndio maisha yaende.. nahisi hapo kama ningekuwa mwanafunziii mngenimwaga mapemaa.. chuo flani nilienda kusoma ka elimu flani, walimu wa ile idara walikuwa wana ninyaaa.. kuna mmoja alizingua nilimchimba beat 🤣🤣🤣 jamaa aliniogopa kinomaaa na somo lake nikatoboaa.. mkwala nilio wachimba na vile nilikuwa sieleweki eleweki wakahisi ni kitengoo kumbe wengine hatunaga cha kupoteza
Watakulaaani mbakie kusema yuko wapi yule mwalimu aliesema....!! Mfyuuu zenyuu 😁😁😁
 
Mwaka jana kuna form 4 alimbambia akampa alimpa vitasa mwalimu wa field !! Nae Alikuja kwenye pepa tu wanafunzi mna mabalaa sana nyie!!
Kwa mfano yule second master!
Tulivyokua form five! Alikua anatuambia form 6 hawafanyi kazi sababu Wana mtihani wa taifa kazi zote Ni form five kufagia, kuteka maji, kulima n.k

Sasa tulivyofika form 6 akatugeuka; sisi wateule tukagoma akaja tufata room tunacheza zetu karata! Nilikua nishakula vitu vyangu. Sikufikiria mara mbili niliokota fyekeo nilimtoa nduki mnywani dah Mungu anisamehe. Baba wa wetu alipiga kelele hizo dah
 
Haya maisha hutakiwa kuishi kizembe zembe 🤣🤣🤣 sasa hivi tunapiga matukio mahala ambapo ni prohibited 😅😅😅😅 sema kwa akili . lazima tuishi kwa michaka michakaaa kama kambini . sio kizembe zembe
Weee mjomba ungevuta bangii wee hio akili yako Sijui ungekuaje walai sio kwa matukio hayo!
 
Kwa mfano yule second master!
Tulivyokua form five! Alikua anatuambia form 6 hawafanyi kazi sababu Wana mtihani wa taifa kazi zote Ni form five kufagia, kuteka maji, kulima n.k

Sasa tulivyofika form 6 akatugeuka; sisi wateule tukagoma akaja tufata room tunacheza zetu karata! Nilikua nishakula vitu vyangu. Sikufikiria mara mbili niliokota fyekeo nilimtoa nduki mnywani dah Mungu anisamehe. Baba wa wetu alipiga kelele hizo dah
Miaka hio wanafunzi walikua wakorofi sana na matukio kama yote!!
Sikuhizi sio kihivooo labda mijini huko!
 
Hii kauli inanichekesha. Eti yuko wapi yule Mwalimu wa Maths, aliyesema hatutafika popote? Hapa ni wapi? 😂😂😂😂
😅😅😅 siogopagi kabisa ukinizngua kama huyo mwalimu wa chuo ndio alikuwa Head of Department... lakini aliupata moto wangu vizuri.. nasomo lake nakukumbuka lilikuwa core subject alinibanaaa mwisho wa siku nikapata B ila hana hamu na mie.. hadi leo hiii
 
Hii kauli inanichekesha. Eti yuko wapi yule Mwalimu wa Maths, aliyesema hatutafika popote? Hapa ni wapi? 😂😂😂😂
Naona walimu wamewashika pabaya kila saa wanawawaza wao tyuuu mxxxieeww 😏😏😏😏!!

Walimu wenyewe wapo kupambana naharee zao hawana hata habaree namtyuu😊😊😁!!!!
 
Hii kauli inanichekesha. Eti yuko wapi yule Mwalimu wa Maths, aliyesema hatutafika popote? Hapa ni wapi? 😂😂😂😂
Naona walimu wamewashika pabaya hadi hawapui kila saa wanawawaza wao tyuuu mxxxieeww 😏😏😏😏!!

Walimu wenyewe wapo kupambana naharee zao hawana hata habaree namtyuu😊😊😁!!!!
 
Back
Top Bottom