Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Umepotea sana. Nikasubiria wishes, gift wapi kimya mtu chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepotea sana. Nikasubiria wishes, gift wapi kimya mtu chake
Sikuhizi wengi Ni watotoMiaka hio wanafunzi walikua wakorofi sana na matukio kama yote!!
Sikuhizi sio kihivooo labda mijini huko!
Wewe akili yako inaonekana sio mjomba atakaingia 18 zako analoo😂😂😂😊!😅😅😅 siogopagi kabisa ukinizngua kama huyo mwalimu wa chuo ndio alikuwa Head of Department... lakini aliupata moto wangu vizuri.. nasomo lake nakukumbuka lilikuwa core subject alinibanaaa mwisho wa siku nikapata B ila hana hamu na mie.. hadi leo hiii
Hahahaaa..Kunywa gongo lol!!Sikuhizi wengi Ni watoto
Those days tulikua tunasoma na mafaza!!
Shule niliyosoma mie kuingia darasani Ni option! Either ukanywe gongo mtaani, ukacheze kamali, ukabambie wanakijiji.
Dah nikawa najisemea nimetoka zangu ushuwani rwamishenye amani uko nimedondokea wapi uko.
Kwa wetu wa mbeya waliopita iyo shule wanaijua vizuri sana
😅😅😅 sasa hivi na technology mpyaaa, nakuminyaaa kimyaaa ukija shtuka nimekumalizaaa 😅😅😅.. dunia ni uwanja wa vitaaaaWewe akili yako inaonekana sio mjomba atakaingia 18 zako analoo😂😂😂😊!
Mwakajuzi HM si akajifanya anaenda kutuliza kelele mabwenini kwa form 6 huko weeeehh wakazima taaacha wamrushie mawe usiku alitrokajee ndukiii kiherehere chote kilimuisha mbona hadi leo anaogopa kwenda mabweni ya advance 😁😁😁😂!!
watu wenyewe wanataka kufaaaa tufanyajeee sasaaa 😅😅😅😅Weee ushendweeeee mjombaa utauaaa watuu lol!!
Acha huo ukorofi!!😊
Pipo zilikua zimepinda!Hahahaaa..Kunywa gongo lol!!
KabisaJamani kumbe Team Gemini, pamoja na Tonnia naye Gemini.
Sasa tumegongana tarehe Saint Anne sisi ni twins kabisa [emoji8][emoji8][emoji8]
Ewaaa na makucha yake,Njemaaa mkuu... kumekuchaaa 🔥🔥🔥
Hahahaaa... mlikua wababe sana nyie!Pipo zilikua zimepinda!
Tulikua tuna miliki mademu wa form five kinguvu.
Ili uwe salama usiteswe pona yako mtoto wa kike wa form five nikua na kidume cha form 6
Afu unakuta na mademu wa form 6 wanawala mkwara mademu wa form 5 ole zenu mtoke na mabwana zetu
Haha Yani ilikua full vurugumechi
💖💖💖, auntiee mzuriDaima mbeleeeeeeee nyuma mwikooo!!💪
aunti mtaaamu mzuriii hana bayaaa 😍😍😍😍😍🤣🤣💖💖💖, auntiee mzuri
Hivi unajua kila nikionaga comment yake picha yake inanijiaga 😆😆aunti mtaaamu mzuriii hana bayaaa 😍😍😍😍😍🤣🤣
Eti form five unaenda library kusoma nini? unamtihani wa taifa?Hahahaaa... mlikua wababe sana nyie!
Daaaah 🤣🤣🤣🤣🤣, umenikumbusha mbali aseeeAnkol na chino walikuwa wakorofi sana. Kufundisha watoto wa kiume ni shughuli. Hawachelewi kupiga.
Nyinyi mlishindikana kwa kweli. Mlipasua lakini form six?Eti form five unaenda library kusoma nini? unamtihani wa taifa?
Form five form 6 anakupiga ngumi unakwepa unataka apige ukuta? Form five??