Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Unataka kunioa?Funguka nijue mtani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kunioa?Funguka nijue mtani
Hapana napendaga comments zako tu ndo maana 😶🤗Unataka kunioa?
Mie mtu mzima sana. Nina watoto umri sawa na wa kwako.Hapana napendaga comments zako tu ndo maana 😶🤗
🤣 We mtu mzima ndio lla bado mi mkubwa kwako!Mie mtu mzima sana. Nina watoto umri sawa na wa kwako.
Yaani wewe huna ukubwa wowote. Hata 28 hujafikisha.🤣 We mtu mzima ndio lla bado mi mkubwa kwako!
Haya niambie chuo ulimaliza mwaka gani na ulisomea nn pleaseee!
Comments zisikudanganye mi naweza kuwa kaka kabisaYaani wewe huna ukubwa wowote. Hata 28 hujafikisha.
Comments za ki-GenZComments zisikudanganye mi naweza kuwa kaka kabisa
We utakuwa una 44-46 saivi! Haizidi hapoOkeee🤣. Ni kweli sijafikisha hiyo 52, ni kweli pia nimemaliza std 7 1993. Do the maths utapata umri wangu.
Upo sahihi.We utakuwa una 44-46 saivi! Haizidi hapo
Kuhusu chuo ndo umekataa kuniambia!
Acha uongo basi kuna sehemu nilisoma umecomment ulisoma chuo wewe na bestie yako ukamzimikia nanili wake,,,,,,Sijasoma mie😀
Ha haaa sikwambii. Isijekuwa wasiojulikana wewe😅😅Acha uongo basi kuna sehemu nilisoma umecomment ulisoma chuo wewe na bestie yako ukamzimikia nanili wake,,,,,,
Mambo yasiwe mengi niambie chuo ulisoma nn na ulimaliza mwaka gani!
Sasa wewe utekwe una nn cha kutekewa au we mfanyabiashara mkubwa!? 😊😉Ha haaa sikwambii. Isijekuwa wasiojulikana wewe😅😅
You never knowSasa wewe utekwe una nn cha kutekewa au we mfanyabiashara mkubwa!? 😊😉
Acha woga basi au watoto wanakutegemea 😇😇You never know
Ndioooo😅Acha woga basi au watoto wanakutegemea 😇😇
Sawa nimeelewa nataka nikuulize swali personal unaniruhusu!Ndioooo😅